kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,054
- 170
Wadau mnaokumbuka yale maajabu ya shekh sharif yule mtoto miaka ya tisini mtaweza kutoa mlinganisho yakinifu na huyu pastor aliyejitokeza huko loliondo.
Isije ikawa huyu ni yule yule mtoto sasa amekua,karudi kuwa mkirsto na anaendeleza maajabu yake.
Isije ikawa huyu ni yule yule mtoto sasa amekua,karudi kuwa mkirsto na anaendeleza maajabu yake.