Shein akataa uwaziri, asusia kikao


Waliifuata akili ya baba wao wa Taifa Nyerere ,kumbe wakati ule hata akili yake ilikuwa imepata ugonjwa , matokeo yake ndiyo haya
 
kama kweli anakuwa waziri akiingia ktk baraza la mawaziri hiyo nayo ni kero nyingine ya muungano,tutaishughulikia wakati wa maoni ya katiba mpya
 
Tanganyika nchi? Zanzibar ni semi autonomous area, ingawa haina recognition UN lakini ni nchi. Lakini tanganyika je? Sio kitu maana mumejisaliti na kulikataa jina la tanganyika mkawa mnakumbatia utanzania

Frustrati0n must b erroding your hearts n brains severely u guys frm island..Loh nway lemme be kind by sayn poleni n simple advice to u is "dnt let external force drive u,juc ask th lybians 4 th experience" buh if u thnk ts internal drive n people's willing,i wish u ol th best"
 

Umesema vyema. Habari hii imekaa kiudaku udaku! Si lazima kila kikao cha baraza la mawaziri kila waziri lazima ahudhurie. Kile ni kikao kama vikao vingine na vinaprotocal yake. Wapo wenye udhuru na walio kikazi nje ya nchi. Aliyeandika hii habari labda anataka tuamini kwamba ndo mwanzo wa kuuvunjika kwa muungano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…