Terrible Teens
Member
- May 6, 2017
- 47
- 62
Mbona wa kawaida sana?bora mara elfu paprika wangu!Mtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,
View attachment 530400
Ndio hapo moyo wangu umeshindwa kufanya majukumu yake ukadondokea hapoMmmmh mbona ni 'kabaya'..!?????
Mioyo inatofautiana mkuuMbona wa kawaida sana?bora mara elfu paprika wangu!
Namuonaga akiripoti tu mkuu, ukikutananae nifikishie salamu zanguUmewahi kumuona uso kwa macho?hiyo Camer360 mdogo'angu ukimuona live kwenye hizi barabara zetu za vumbi utamkimbia usidanganywe na picha.
Nipo mkoani mkuu,Tunazidi kupoteza vijana wengi kwa kujilipuwa
ila Mkuu umejilipuwa humu sidhani kama utaondoka nae mhusika ni heri ungeenda kule Tabata na kutangaza hili
Wewe nani wake mkuuNitafute PM na Laki 9 kama kishika uchumba....