Sheikh Yahya ashitakiwa Mahakama Kuu

Sheikh Yahya ashitakiwa Mahakama Kuu

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
242

Wana-JF:
Hii ni sehemu ya mwisho ya stori ya ‘Dr Slaa atabiriwa kifo’ katika Tanzania daima ya leo.

….Wakati huo huo Makama Kuu jijini Dar es Salaam imeombwa kumkamata na kumshitaki mnajimu Sheikh Yahya Hussein kwa kutoa kauli ya kitisho kwamba yeyote ambaye angeshindana na Rais Kikwete katika kinyang’anyiro cha kura ya maoni ya urais ndani ya CCM angefariki dunia ghafla.

Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili jana zilisema Paul Mhozya, ambaye ni mwalimu mstaafu wa taasisi ya elimu nchini, ndiye aliyewasilisha ombi hilo Mahaka Kuu akitaka Sheikh Yahya ahukumiwe kwa kukiuka sheria ya makosa ya ushirikina na uchawi ‘Witchcraft Act’ aliyodai inakataza kitendo cha mtu kutumia uwezo wake katika mambo ya kishirikina kutisha wengine.

Ibara ya tatu ya sheria hiyo inasema: “Mtu yeyote ambaye, kwa kauli au kwa matendo anajipambanua kuwa na nguvu ya uchawi au kutishia kuitumia au kuegemea katika matumizi ya kichawi juu ya kitu chchote cha kichawiu au dhidi ya mtu yeyote, amefanya kosa.”

Kesi hii inayogusa suala lililogubikwa na utata mkubwa ni ya pili kufunguliwa na Mhozya, baada ya kufungua kesi nyingine mwezi Julai mwaka huu akitaka jina la Rais Jakaya Kikwete liondolewe katika orodha ya wagombea urais kwa madai ya kukiuka matumizi mabaya ya madaraka na Katiba ya nchi.

Kwa ombi hilo Sheikh Yahya ikiwa anaweza kupatikana na hatia anaweza kufungwa miaka saba jela au kulipa faini isiyopungua sh elfu moja.

 

Wana-JF:
Hii ni sehemu ya mwisho ya stori ya ‘Dr Slaa atabiriwa kifo' katika Tanzania daima ya leo.

….Wakati huo huo Makama Kuu jijini Dar es Salaam imeombwa kumkamata na kumshitaki mnajimu Sheikh Yahya Hussein kwa kutoa kauli ya kitisho kwamba yeyote ambaye angeshindana na Rais Kikwete katika kinyang'anyiro cha kura ya maoni ya urais ndani ya CCM angefariki dunia ghafla.

Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili jana zilisema Paul Mhozya, ambaye ni mwalimu mstaafu wa taasisi ya elimu nchini, ndiye aliyewasilisha ombi hilo Mahaka Kuu akitaka Sheikh Yahya ahukumiwe kwa kukiuka sheria ya makosa ya ushirikina na uchawi ‘Witchcraft Act' aliyodai inakataza kitendo cha mtu kutumia uwezo wake katika mambo ya kishirikina kutisha wengine.

Ibara ya tatu ya sheria hiyo inasema: "Mtu yeyote ambaye, kwa kauli au kwa matendo anajipambanua kuwa na nguvu ya uchawi au kutishia kuitumia au kuegemea katika matumizi ya kichawi juu ya kitu chchote cha kichawiu au dhidi ya mtu yeyote, amefanya kosa."

Kesi hii inayogusa suala lililogubikwa na utata mkubwa ni ya pili kufunguliwa na Mhozya, baada ya kufungua kesi nyingine mwezi Julai mwaka huu akitaka jina la Rais Jakaya Kikwete liondolewe katika orodha ya wagombea urais kwa madai ya kukiuka matumizi mabaya ya madaraka na Katiba ya nchi.

Kwa ombi hilo Sheikh Yahya ikiwa anaweza kupatikana na hatia anaweza kufungwa miaka saba jela au kulipa faini isiyopungua sh elfu moja.



Nadhani it's high time mtu huyu akapandishwa kizimbani kwa 'uchochezi'.
 
Thank you.
Sheikh amekuwa akighilibu watu wengi sasa yamemfikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
huyu si ndo katuma majini kumlinda JK..
 
Huyu atapandishwa mahakamani endapo jk atashindwa kura na kuzimika tena tu.
 
Hapandishiwi mtu mahakamani, kwa kosa gani? Yaani kutabiri kifo cha mpinzani wa mteja wake?
 
Thank you.
Sheikh amekuwa akighilibu watu wengi sasa yamemfikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Pongezi kumfikisha mbele ya sheria fisadi wa amani, hakai kutishia uchawi waTZ mwanzo wanaThithiemu wakaogopa kuingia kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha U Prezida, leo tena kaja na kimbwaga kingine
WaTZ tunaomba amani yeye kakalia uchawi uchwala
MWAKA HUU HATUDANGANYIKI NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 

Wana-JF:
Hii ni sehemu ya mwisho ya stori ya ‘Dr Slaa atabiriwa kifo' katika Tanzania daima ya leo.

….Wakati huo huo Makama Kuu jijini Dar es Salaam imeombwa kumkamata na kumshitaki mnajimu Sheikh Yahya Hussein kwa kutoa kauli ya kitisho kwamba yeyote ambaye angeshindana na Rais Kikwete katika kinyang'anyiro cha kura ya maoni ya urais ndani ya CCM angefariki dunia ghafla.

Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili jana zilisema Paul Mhozya, ambaye ni mwalimu mstaafu wa taasisi ya elimu nchini, ndiye aliyewasilisha ombi hilo Mahaka Kuu akitaka Sheikh Yahya ahukumiwe kwa kukiuka sheria ya makosa ya ushirikina na uchawi ‘Witchcraft Act' aliyodai inakataza kitendo cha mtu kutumia uwezo wake katika mambo ya kishirikina kutisha wengine.

Ibara ya tatu ya sheria hiyo inasema: "Mtu yeyote ambaye, kwa kauli au kwa matendo anajipambanua kuwa na nguvu ya uchawi au kutishia kuitumia au kuegemea katika matumizi ya kichawi juu ya kitu chchote cha kichawiu au dhidi ya mtu yeyote, amefanya kosa."

Kesi hii inayogusa suala lililogubikwa na utata mkubwa ni ya pili kufunguliwa na Mhozya, baada ya kufungua kesi nyingine mwezi Julai mwaka huu akitaka jina la Rais Jakaya Kikwete liondolewe katika orodha ya wagombea urais kwa madai ya kukiuka matumizi mabaya ya madaraka na Katiba ya nchi.

Kwa ombi hilo Sheikh Yahya ikiwa anaweza kupatikana na hatia anaweza kufungwa miaka saba jela au kulipa faini isiyopungua sh elfu moja.


Well ni vizuri tukiendelea kufuatilia thread hii tuone kama kweli atakamatwa. Kisheria maneno yake yanamfanya aweze kushitakiwa lakini kwa Tanzania hii sidhani.
 
Hakuna Jaji/Hakimu wa kusikiliza shauri la mlinzi mkuu wa Rais ahaa ahaa ahaa.
 
Mpandisheni mahakamani kama hamkuliona jini disguising as yahaya hussein likileta kasheshe
 
mnataka kututoa katia mada ya uchaguzi,tumewashtukia hamna jipya!
 
Sipendi kweli kusikia jina la hili ****, sheikh yahaya.....so stupid and devilisH!
 
Mlinzi wa rais!!!
CCM bana, yaani secret service (ya TZ) hawatoshi tena?
 
Mlinzi wa rais!!!
CCM bana, yaani secret service (ya TZ) hawatoshi tena?

Secret service ni visible lazima pia iwepo invisible service , na ndio hii ya majini ya shehe yahaya na huyu yupo tokea enzi za yule aitwaye Baba wa Taifa , NYERERE
 
MTAAMBIWA LETENI USHAHIDI substancial!...sijui itakuwaje, wakati uchawi hauna ushahidi wa kuonekana na macho!Halafu anaweza akampiga juju hakimu atakayesogeza pua mahakamani kushughulikia kesi hiyo!
 
Hiyo faini ya elfu moja????

hii ndo tz bana!
mwivi wa kuku miaka mia,mwivi wa mabilioni na matumizi mabaya ya madaraka,kesi ndogo tu itaisha...ccm oyeeeeeee!!
 
Mwaka huu watanzania wameamua kumuomba Mungu kisawasawa. Hivyo, hakimu atalindwa na Mungu aliye hai, jemedari wa vita, asiyeshindwa na nguvu za giza...!!!
 
Mungu si binadamu aseme uongo, lazima tumpate kiongozi asiyeishi kwa ulinzi wa majini.
Mungu tupe hekima.
 
Back
Top Bottom