Sheikh Yahya Alazwa !!

Sheikh Yahya Alazwa !!

Ngaramu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2009
Posts
382
Reaction score
78
Source: TBC1 Habari ya saa 2

Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.

ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!
 
Namwombea apone haraka na kurejea katika afya yake
 
ETI YALEYALE YA iNDIA ENZI ZILEE!!!!!
 
leo kumekuwepo na uvumi kuwa amefariki! niliona sms huku moshi. pengine atatabiri ni lini atapona kwa kuwa huyu ndo nabii isaya wa kikwete
 
Pamoja na kutokubaliana na mitazamo yake ya kimaisha, kwenye hili la ugonjwa namuombea apone haraka. Kama binadamu lazima tupitie hizi test za hapa na pale na hakuna tunguri linaloweza kutuepusha na haya mambo ya waja wa dunia
 
Ndiyo atambue mlinzi mkuu ni mwenyezi Mungu pekee amuombe yeye na siyo majini amsaidie apone haraka aje kushuhudia Slaa akiapishwa.
 
Atabiri yeye atajkufa lini maana yeye anashindana na mungu mungu hamshindi shetani
 
Unachopanda ndo unachovuna. Amemdharau Mungu kwa kusema yeye ndo mwenye kutoa ulinzi kwa wanadamu awapendao. Sasa Mungu anamuonyesha kwamba yeye(Mungu ) is above all, na hakuna mwanadamu atakaye uchukua utukufu wa Mungu.
 
tetemekeni kwa hofu, kwani yaja siku, ni siku yenye kutisha tena sana sanax2, usituhukumu Bwana kwa hasira yako, utupone ee Bwana............., waovu nao matapeli, watatoswaaa sana, tetemekeni kwa hofu yaja siku ile
 
Namwombea kwa Mungu amponye haraka. Kwani itakuwa furaha sana Sheikh kushughudia ushindi wa Slaa.
 
Duh, pole sana Sheik Yahya!! Yaani umetoa ulinzi wa majini kwa Kikwete halafu wewe mwenyewe umeshindwa kujilinda? Ni wakati mzuri wa kutambua kwamba ulinzi wa kweli na mipango ya maisha anapanga Mungu na si mwanadamu. Muombe Mungu atakurehemu na kukuponya.
 
aliyoyafanya dhidi ya watanzania yatosha sasa. alale kwa amani
 
Back
Top Bottom