Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,303
- 33,083
Kanzu sio Vazi la kiarabu wala sio Vazi la Dini ya Kiislam. kanzu tunaweza kusema ni kama Shati jeupe ni vazi la heshima tu kwa mtu yoyote yule anaweza kuvaa hiyo Kanzu. huko Uarabuni KanzuHivi kanzu ni vazi la kiarabu, kidini, kiislamu au vazi la kawaida tu kama shati ambalo mtu yoyote unaweza vaa na kwa mda wowote?
Nikijibiwa swali hili nitaongea baadae.
Ni Kweli watu waache kuzungumza masuala ya mtu wazungumze mambo muhimu mimi nimemsifia kiongozi wetu alivyopendeza watu wengine wanazungumzia mambo mabaya Wabongo kwa kupenda kumchukia mtu pasipo an sababu yoyote ile ahhhh.Mkuu HAZOLEacheni kujadili watu/people, jadilini masuala/issues
Acha wivu wewe....BLBful kuuza sura
mimi nimependa hizo marumaru na pazia.
Kasoro kofia tu. Maaashaallah.