hilo kanisa lifungwe haraka haraka#CORONAVIRUS: MCHUNGAJI WA KANISA LA EFATHA, JOSEPHAT MWINGIRA ATAKA WAUMINI WAKE KUVUA BARAKOA
> Ametoa kauli hii tarehe 3 Mei, 2020 wakati ambapo Serikali na Wataalam wa Afya, wakisisitiza matumizi ya Barakoa kama nyenzo ya kuzuia maambukizi ya #COVID19 hasa katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu
> Je, una maoni gani kulingana na kauli na maagizo ya Kiongozi huyu wa Kiroho?
#JFCOVID19_Updates
MH!!!
Hili Jabali halikuwa maarufu kwa Wanasiaasa kwa kuwa hakuwa Mlamba viatu
Mmeanza, Ummy kafanyaje?
Acha usenge ww kwenye mambo SiriusYaelekea shehe hajafanyiwa nyambura, kwa hio hatuwezi kujua kama ni ummy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jabali la kufasiri Qur an kwa zaid ya Miaka Arobaini amerejea kwa Mola wake
Hili Jabali halikuwa maarufu kwa Wanasiaasa kwa kuwa hakuwa Mlamba viatu
Allah amsamehe Makosa yale na ampe mapokezi Mema
Sent using Jamii Forums mobile app