TANZIA Sheikh Suleiman Kilemile afariki dunia

huyu israel kahamia sasa kwenye misikiti baada ya makanisan

😳 😳 😷 😷
 
#CORONAVIRUS: MCHUNGAJI WA KANISA LA EFATHA, JOSEPHAT MWINGIRA ATAKA WAUMINI WAKE KUVUA BARAKOA

> Ametoa kauli hii tarehe 3 Mei, 2020 wakati ambapo Serikali na Wataalam wa Afya, wakisisitiza matumizi ya Barakoa kama nyenzo ya kuzuia maambukizi ya #COVID19 hasa katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu

> Je, una maoni gani kulingana na kauli na maagizo ya Kiongozi huyu wa Kiroho?

#JFCOVID19_Updates

MH!!!
 
#CORONAVIRUS: MCHUNGAJI WA KANISA LA EFATHA, JOSEPHAT MWINGIRA ATAKA WAUMINI WAKE KUVUA BARAKOA

> Ametoa kauli hii tarehe 3 Mei, 2020 wakati ambapo Serikali na Wataalam wa Afya, wakisisitiza matumizi ya Barakoa kama nyenzo ya kuzuia maambukizi ya #COVID19 hasa katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu

> Je, una maoni gani kulingana na kauli na maagizo ya Kiongozi huyu wa Kiroho?

#JFCOVID19_Updates

MH!!!
hilo kanisa lifungwe haraka haraka
 
Mbele yake nyuma yetu,Apumzike kwa Amani Sheikh Kilemile.
 
Poleni sana kwa majonzi ya msiba ndugu, jamaa, marafiki na wote mnao mfahamu
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom