Habari za kweli ni kwamba Sheikh Sharrif bado ni Muislamu. Sheikh sharrif bado anaendelea kutoa mada mbalimbali za kufundisha dini ya Kiislamu na tabia njema kwa binadamu wote. Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na Msikiti wa Mtoro, kuhusu mihadhara yake ambayo inapendwa na watu wote duniani.