Juakalee
Member
- Oct 3, 2018
- 69
- 17
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekuwa katika maanadalizi ya Uchaguzi Mkuu kwa kufanya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kurekebisha kanuni, uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuandaa maadiili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Katika shughuli hizo na nyinginezo Tume imewashirikisha wadau wake wote wakiwemo wadau wakuu ambao ni Vyama vya Siasa.
Sasa Sheikh anapoibuka na hoja mfu kama hii anatia aibu. Wadau walioshirikishwa ni pamoja na viongozi wa Dini wakiwemo hao wa Shura ya Maimamu.
Kwanini Sheikh anaupotosha umma?
Uchaguzi Mkuu: Waraka wa Waislam waibana serikali
Katika shughuli hizo na nyinginezo Tume imewashirikisha wadau wake wote wakiwemo wadau wakuu ambao ni Vyama vya Siasa.
Sasa Sheikh anapoibuka na hoja mfu kama hii anatia aibu. Wadau walioshirikishwa ni pamoja na viongozi wa Dini wakiwemo hao wa Shura ya Maimamu.
Kwanini Sheikh anaupotosha umma?
Uchaguzi Mkuu: Waraka wa Waislam waibana serikali