Sheikh Ponda ameeingia ktk 18 za CCM

Sheikh Ponda ameeingia ktk 18 za CCM

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
 

Attachments

  • GuNIRMhWcAAmxI9.jpeg
    GuNIRMhWcAAmxI9.jpeg
    212.3 KB · Views: 15
Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Yaani kwenu nyie mtu sahihi ni akiwa CDM tu!
 
Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Tumtakie safari njeama
 
Yaani kwenu nyie mtu sahihi ni akiwa CDM tu!
Miaka mingi kaitesa ccm kupitia mgongo wa Waislamu. Mwaka huu akipewa kura 50 atasimama jukwaa gani la Waislamu kusema anaushawishi?
 
Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Huyo ni Projrcts ya CCM ndani ya ACT Wazalendo
 
Siasa ni ngumu sana kuielewa na kuvishinda vita na vishawishi vya dhambi ya siasa, yataka uwe na pesa na siyo maneno maneno

Wachache sana wenye maneno maneno na msimamo wa dhati kukabiliana na rafu za siasa ya Tanzania, ameweza Lissu na Heche na wengine wachaache sana

Hawa Mashekhe wenye misimamo miaka na miaka, kuna kitu (Rushwa) ya Abdalah iliyonona imewapitia ili kuwapunguzia misimamo yao, kisha kuhakikishiwa nafasi fulani ili waache kabisa kuiharasi Serikali ya watekaji

Serikali dhalimu, huwa haipendi kupigiwa kelele, itahakikisha wengine wanapewa pesa wanyamaze, na au kuwapa vinafasi serikalini ili wakae kwa kutulia, ili watekaji wakose wa kuwabughudhi

Mungu siyo Dhalimu, kutatokea wengine watetezi kushinda hata hao
 
We never know, kama kina mchungaji mwanjala, msigwa na gwajima walipata ubunge hata huyu sheikh wa ACT wazalendo atapewa kiti bungeni!
 
Zito anamponza huyu Mzee. Yeye angebaki tuu na harakati zake zile.
 
Uchaguzi utapendeza zaidi kama CHADEMA nao watashiriki bila kujali kuibiwa kura. Kama wezi wa kura wanajulikana haina haja ya kuwahofia na kuogopa kuibiwa kura
 
Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Acha kumtisha...
 
Back
Top Bottom