Hata Padri Kitima akigonbea kwa chama kingine mtakuja kutoa povu hapa kanunuliwa. Ila yeyote anayeunga mkono CDM huyo kwenu ndo mpinzaniHata chadema wakisimamisha mgombea itakuwa Bure tu ndio mana NRNE
Hata Padri Kitima akigonbea kwa chama kingine mtakuja kutoa povu hapa kanunuliwa. Ila yeyote anayeunga mkono CDM huyo kwenu ndo mpinzaniHata chadema wakisimamisha mgombea itakuwa Bure tu ndio mana NRNE
huyo sheikh haaminikiHuyu si anatumika kapewa pension
Hii nchi bana mtu sahihi utamjua kwenye pesa tu
Ndio maana nitasimama na Lissu mpaka kesho!
Lakini huyu ni Mrundi ujueNasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Na nikobazi kwishaNasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.
Ukiona mtanzania anapiga sana kelele ujue njaa imemzidia.Nasikia anaenda kugombea ubunge Kupitia Act wazalendo temeke.
Nategemea atapewa na tume ya uchaguzi kura 50 ktk kura elfu 24 za mgombea wa ccm.
Huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake Tanzania.
Kabla ya hapo nguvu ya Ponda ilikua kubwa si kwa waislam nje ya Bakwata lkn hata ktk kupigania haki.