MGANGA WA KIENYEJI
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 521
- 171
mganga wa kienyeji,
wewe jamaaa, umejifunzia wapi kutisha mtu? Unadhani nyie ndo wenye mikono tu? Unadhani wakristo hawapo wenye miguu? Unataka sema whole tanzania is for u guys? Mbona kwetu musoma idadi yenu hata haiwezi tambulika? Usitutishe maaana hatuogopi na usipo kaa sawa maafa yakitokea usijikute we wa kwanza kulala horizontal...maana we wont keep quite bt we gonna start resisting....ila kwa usalama wa taifa tume pozi tu...ila ponda lazima hatiwe hatiani...kwanza nani mkuu ponda ama simba? Mbona hana nidhamu huyu mtu? Halafu nackia sio mbongo? Ila kwakweli inabidi tupeleke vijana wetu katika elimu dunia ili wasitumiwe katika kuiangusha nchi yao kama wajinga..
sasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....Sio lengo letu kuwatisha. Bali tunapenda kuwaarifu, dhulma dhidi ya waislamu sasa basi. Hilo tu. Kama mtapigana na sisi kutetea dhulma dhidi yetu. So be it.
Ingawa napenda kukuarifu, uislamu na waislamu hauna ugomvi na wakirsto. Sisi tunapambana na wale wanao ubugudhi na kuushambulia uislamu na waislamu. Bila kujali dini yake hata akijiita muislamu kama mufti wa bakwata sheikh shaabani simba. Lazima angoke, atake asitake.
Yule sio mkristo. Ni muislamu mnafiki. Huyu ni adui mkubwa kuliko adui mwengine yoyote.
sasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....
suala sio kuchukia au kupenda kundi fulani.suala la kupenda au kutopenda kitu ni la kisaikologia na silahiari (non-voluntary action).suala hapa ni kundi moja kuwafanyia uharibifu kundi jengine.kwanza kabisa napenda kukuhakishia, uislamu na waislamu hawana chuki na ukristo na wakristo. Wala hatufundishwi kufanya hivyo. Napenda nikuahidi, mimi nataka kuanza mafunzo maalum kusisitizia kutokua na uhasama na wasio kua waislamu.
Baadhi ya viongozi wa makanisa, huwafundisha kwa siri sana waumini wao kuuchukia uislamu. Ndio maana vijana wengi wa kikristo hua na chuki kisirisiri dhidi ya uislamu.
Hufundishwa kuutakana na kuukashifu uislamu wakati sisi tunafundishwa kuto kumtakana nabii issa (yesu kristo), wala vitabu vya mwenyezi mungu zaburi, taurati na injili.
Hua sisi tunasisitiza kuwaambia majirani zetu kua, yesu sio mungu, mungu sio watatu na wala yesu sio mwana wa mungu (ki-biolojia).
Hua tunalithibitisha hilo kwa maandiko yale yale yalioko ndani ya biblia.
Waislamu wote wanajua utukufu wa qur-an tukufu. Kwa hiyo yoyote atake ifanyia kitendo cha dharau, hata watoto wanaweza kumhukumu.
swadakta! umenena vyema mkuu.yaani umetema madini hapa.ningeweza ningekupa certificate of competencesasa kaka mie najiuliza mbona watu wanachoma makanisa? kwani polisi imejaa wakristo? ama anaetoa tamko la kumkamata sheikh ponda ni mkristo? ama kova ni dini nyingine? iweje makanisa yanachomwa?? kwani mmemsikia mkristo yeyote akitoa tamko dhidi ya waislamu ndani ya week mbili, achana na yule mtoto mjinga asiejua alitendalo....mie nadhani mnavyo deliver hisia zenu sio sahihi? amri ya kumkamata sheik ponda haijatolewa makanisani bali serikalini na makao makuu ya polisi, hivyo acheni kuchoma makanisa...si vizuri kuingia katika vita zaa kidini tutauana bure akati ni ndugu hapa....
mganga wa kienyeji qoran inasemaje juu ya upendo na kusamehe
Duh...!. Nilisoma bila kusoma tarehe... kumbe...Yule 'Mwanaharakati' maarufu wa dini ya kiislamu Sheikh Ponda Issa Ponda amekamatwa na polisi usiku huu akiwa katika msikiti wa Temeke Tungi
UPDATES:
- Ponda alikamatwa mida ya saa 5 usiku muda ambao unahisiwa kuwa sawa na ambao mwenzake Sheikh Farid wa Uamsho (Zanzibar) anadaiwa kupotea; unaweza kufuatilia - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wa-uamsho-atekwa-nyara-visiwani-zanzibar.html
- Wafuasi wa Ponda wameanza purukushani, unaweza kusoma - https://www.jamiiforums.com/habari-...si-wa-sheikh-ponda-waanzisha-purukushani.html
KAULI YA KAMANDA KOVA:
Homa ya maandamano ya Amani imepanda.Duh...!. Nilisoma bila kusoma tarehe... kumbe...
P