Kitabu gani?Assalam Alleykum,
Watu wa kitabu mnalizunguamziaje hili?
View attachment 364175
View attachment 364176
Unaleta unafiki wako tu hapa.Tulia kama hujaelewa.
mbona MUNGU mmoja huyohuyo...wacha kuleta habari za watu wa vitabu na udini usio na maanaAssalam Alleykum,
Watu wa kitabu mnalizunguamziaje hili?
View attachment 364175
View attachment 364176
kuna kitu unakitafuta na utakipata tu.Nawaogopa sana watu hao,si wazuri hata kidogo,hawana dogo,kutoa roho kwao kheri.
Si udini tu huyu ana chuki za ndaniUdin tu ndo unaokusumbua
Mmoja akishakua wa kanisa na mmoja wa msikiti huo tayari ni "udini", kwa kua dini hizo zina misingi tofauti kuuliza hakuepukiki...Udin tu ndo unaokusumbua