Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Mkuu Mohamed Said hata usemi nini bado mimi naamini Serikali inachagua watu kutoka na elemu na sio dini. Waislam , Wakristu , Wahindi, Pamoja na Wapagani wanaofanya kazi serikalini wamechaguliwa ajili ya elemu yao. End of story.
Afrodenzi,
Siwezi kukukataza kuamini upendavyo lakini ukweli ni kama ulivyosoma katika utangulizi wa Njozi.

Ukweli huu haukuweza kujibiwa na serikali.

Njia nyepesi kwao ilikuwa kukipiga marufuku kitabu.

Ila nitakupa indhari kuwa huwezi kujibu höja za Waislamu kwa kuleta äti höja ya Wapagani kwani hawajapatapo kuonekana popote katika historia ya Tanganyika.

Hawakuwepo wakati tunapigania uhuru wa Tanganyika wala baada ya uhuru sasa nusu karne.

Nimetafiti na kuandika vitabu na "paper," kadhaa sikukutana na wafuasi wa dini hii.

Full stop chembelecho.
 
shekh halifa keep it up hichi kijamaa kilichotoa mada badi kinakasumba ya kizamani kwamba waislamu hawajasoma .

vijamaa vipuuzi kama hivi bado vipo .kuna mamilioni ya waislamu waliosoma kwa sasa hapa tanzania tuna mamia kwa namia ya mafrofesa waislamu na ma phd na mamasters na magreduate maelfu na maelfu .

lakini hawapewi nafasi
Hebu FANYENI analysis ya hao ma prof na ma PhD kama mlivyofanya hapo juu kwa wateuzi wa Jpm tufanye mlinganisho
 
Jakaya walimsema sana aisee bora mzee wa watu aminipumzikia. Ila sisi Watanzania tuna kitu ambacho sikielewi bora ninyamaze.
 
Kipindi hiki hamtatusahaulisha hoja zetu. Rambirambi, mikopo ya elimu ya juu, nyongeza ya mishahara na madaraja, ugumu wa maisha hauangalii dini ya mtu. Hii ni spinning. Rambirambi mbona zimeliwa bila kuangalia dini ? Tunataka pesa zetu, udini ni mbinu yenu wanasiasa. Wanatafuta mbinu ya kutugawa ili waendelee kututawala kimabavu.
 
Afrodenzi,
Siwezi kukukataza kuamini upendavyo lakini ukweli ni kama ulivyosoma katika utangulizi wa Njozi.

Ukweli huu haukuweza kujibiwa na serikali.

Njia nyepesi kwao ilikuwa kukipiga marufuku kitabu.

Ila nitakupa indhari kuwa huwezi kujibu höja za Waislamu kwa kuleta äti höja ya Wapagani kwani hawajapatapo kuonekana popote katika historia ya Tanganyika.

Hawakuwepo wakati tunapigania uhuru wa Tanganyika wala baada ya uhuru sasa nusu karne.

Nimetafiti na kuandika vitabu na "paper," kadhaa sikukutana na wafuasi wa dini hii.

Full stop chembelecho.
Hiajalishi wapagani walikuwepo au hawakuwepo wakati tunapigania uhuru. Tujuavyo kuna wapagani wengi tu Tanzania sasa.

Na ni wa piga kura wa nchi hii wana haki sawa na kila mtu anaejiita Mtanzania.

Hii ni Tanzania Muislam hana haki zaidi ya Mkristu, Jewish , Hindu wala mpagani and vice versa. Hakuna dini lilo juu ya nyingi.

Haki ni kwa kila mmoja. Na ninarudia tena walipewa kazi serikalini ni kwa ajili ya elimu yao na si dini zao nani haki yao.

Kwa hiyo hayo maneno yako sijui mpagani hakuwepo wakati tunapigania uhuru ni upepo tu ndugu.
 
Hiajalishi wapagani walikuwepo au hawakuwepo wakati tunapigania uhuru. Tujuavyo kuna wapagani wengi tu Tanzania sasa.

Na ni wa piga kura wa nchi hii wana haki sawa na kila mtu anaejiita Mtanzania.

Hii ni Tanzania Muislam hana haki zaidi ya Mkristu, Jewish , Hindu wala mpagani and vice versa. Hakuna dini lilo juu ya nyingi.

Haki ni kwa kila mmoja. Na ninarudia tena walipewa kazi serikalini ni kwa ajili ya elimu yao na si dini zao nani haki yao.

Kwa hiyo hayo maneno yako sijui mpagani hakuwepo wakati tunapigania uhuru ni upepo tu ndugu.
Afrodenzi,
Mdomo haumkatai bwana wake.
Hapa JF tuna kila aina ya wachangiaji.

Tunao wasomi na wapo wenzangu mie.

Kama nilivyokufahamisha kuwa nimeandika vitabu na paper kadhaa na nimekuwa mtafiti msaidizi chini ya wasomi wanaotajika.

Nakijua ninachozungumza.

Dini hiyo ya Wapagani haipo si shamba wala katika miji ya Tanganyika sina haja ya kuitaja Zanzibar.
 
Tulichojaliwa watanzania ni kelele tu.
Natamani mamlaka ya juu imshughulikie mchochezi huyu na hilo gazeti lifungiwe ikibidi.
Kwani haya si maadili ya media kabisa.
 
Afrodenzi,
Mdomo haumkatai bwana wake.
Hapa JF tuna kila aina ya wachangiaji.

Tunao wasomi na wapo wenzangu mie.

Kama nilivyokufahamisha kuwa nimeandika vitabu na paper kadhaa na nimekuwa mtafiti msaidizi chini ya wasomi wanaotajika.

Nakijua ninachozungumza.

Dini hiyo ya Wapagani haipo si shamba wala katika miji ya Tanganyika sina haja ya kuitaja Zanzibar.

Naona unazidi kusema "dini hiyo ya wapagani" mkuu hakuna dini ya wapagani.
Kwasababu wapagani hawaamini dini yeyote.

Na huwezi kusema hawapo Tanzania maana mimi naishi na mmoja na kupitia huyu nimekutana na wapagani wengi sana Tanzania.
Nani Watanzania.

Yawezekana hawakuwepo wakati tunapigania uhuru wa Tanganyika lakini wapo sasa nani Watanzania na wana haki sawa na kila mtu hapa Tanzania.
 
Kulalamika ni jadi yenu! hata waislamu wangekuwa 60% bado mngelalamika tu maana mnaonaga mnaonewa kila jambo. Hapo ndo utamwelewa Trump kuhusu ile sera dhidi yenu..
Jadi ya mmoja wa wanaoongea hapa,kuna jamaa mmoja akawa anatoa hoja kuwa Dr dau walikuwa mdini akitolea kigezo kuwa nssf kuwa na msikiti wakati UDOM kila college INA msikiti,UDSM penyewe pana msikiti mkubwa sana tu na sehemu zingine kibao,mi mwenyewe nimesoma Mpwapwa sec na Tosamaganga shule zote za serikali na zilikuwa na misikiti.
 
Swala siyo Udini, Swala ni shule. Fanya sampling ndogo tu Angalia sasa hivi hata kwenye majina ya wahitimu wa shule za msingi na sekondari. Chunguza hayo majina mengi ni ya Dini gani? Halafu rudi kwenye takwimu, wakristo na waislam wapi ni wengi? Watu wamekaa kuchunguza udini Bila hoja za Msingi.
Haifai ku'justify kwa kusema wakristo wasomi ni wengi. Huo utafiti wako una'apply kipindi hiki tu? Marais walopita mbona hizi lawama hazikuwepo. Binafsi napenda kasi ya Magu na kura yangu nlimpa ila issue ya udini ni sensitive sana. Waislam ni wengi na wamesoma pia kwahio hizi ratio za 80/20 hata siku moja haziwezi kunyamaziwa. Ku'balance ni muhimu. Marekani black community ni minority lakini huwezi leo kuwaambia wasidai haki zao za msingi kisa wapo wachache. Tuache ushabiki kweli suala hili
 
Nakumbuka nyakati za JK alipoteua wajumbe wa Bunge la katiba, jinsi alivyoshukiwa kama mwewe, wakiongozwa na Mtei kwa kudai eti kajaza waislamu wengi!, Leo hii katika teuzi za JPM ambapo kaweka waislamu kiduchu kweli wale waliokuwa wakimsakama JK wamegeuka, wanasema eti hakuna cha udini! hahahahh hii ni double standard, kujitia upofu, na ufia dini!

ila cha msingi ujumbe umefika na watu mitaani wanaona, hata kama kwa nje wataonekana wako kimya, lakini mioyoni kuna resentment!

hata ukiwajengea misikiti mia moja, so long as unawasideline watu katika nafasi za utumishi bado hawawezi kukuona uko fair
 
Naona unazidi kusema "dini hiyo ya wapagani" mkuu hakuna dini ya wapagani.
Kwasababu wapagani hawaamini dini yeyote.

Na huwezi kusema hawapo Tanzania maana mimi naishi na mmoja na kupitia huyu nimekutana na wapagani wengi sana Tanzania.
Nani Watanzania.

Yawezekana hawakuwepo wakati tunapigania uhuru wa Tanganyika lakini wapo sasa nani Watanzania na wana haki sawa na kila mtu hapa Tanzania.
Afrodenzi,
Ndipo nilipokuambia kuwa hapa JF kuna kila aina ya wachangiaji.

Upagani ni dini kama zilivyo dini nyingine lakini kwa bahati mbaya
hili hukuwa unalijua.

Chukua nafasi hii kufanya utafiti utajua na ndiyo sababu ukiuliza dini
jibu litakuwa Muislam, Mkristo au Mpagani.

Wewe unaishi na Mpagani ''mmoja.''
Kupitia yeye ukakutana na Wapagani ''wengi'' sana.

Labda nikufahamishe.

Nimefanya utafiti wa historia ya Tanganyika kuanzia 1900 hadi mwisho
wa karne ya 20 sijawakuta Wapagani.

Kanisa limefika kule kote ambako Uislam haukuwa na nguvu.

Katika harakati zote za mapambano dhidi ya ukoloni hakuna popote
nilipowakuta.

Fika Mahenge, Songea kwenye Makumbusho ya Vita Vya Maji Maji
soma majina ya wazalendo walionyongwa na Wajerumani hutakuta
jina wala kaburi la Mpagani.

Pale utaona kaburi moja walimozikwa Waislam takriban wapiganaji 60
na pembeni kuna kaburi alikozikwa shujaa mmoja peke yake Sultan
Abdul Rauf Songea Mbano.

Songea%2BMbano.JPG

Sultani Abdul Rauf Songea Mbano


Hawa Wapagani watakuwa wamejificha katika pango gani?

Njoo 1929 wakati African Assocation inaasisiwa Dar es Salaam angalia
majina ya waasisi wake wengi ni Waislam na Wakristo wachache.

Wapagani hawako.
Labda nikuulize hawa Wapagani wao walikuwa hawataki kudai haki zao?

Jibu ni kuwa hawakuwapo popote.
Njoo sasa 1954 TANU inaasisiwa.

1CJ_BcHTdRGWCLvYs87KZyyjkGglVeHmgj9MWq0CN56VUwiXtX0eB0Tb_fmgtw_LayauG6TD0Qs8u-iyJvN1R38R76ufuUvidj1Qv98QXYCbd-NTMsO8Na8e4PJPxfnM6tb1nxLEuay5MB-zDFbLFRuN5E6dZbKNFZF6sGviuQ0yBBxl8XZR0rAiEJFByCvDo5Xcr7PQs5n1iRYH9JJNfTOGsIsTrTKsaxxCkPVvr_VupHp0VTchDPksQj3jX3s1bs9nmxGgfcl4Xm253wNWWGivRfEMePME2KW4wWPNQQw09qXWN11aS43bFjKgKQW2MaJh9gicM2NBDkqnexJb1iBMnaXURYMwEm8OWcN-49LBaOhXixrz2YNtcewsIy04JB9A-_C5_btokNJ0m2fBQTQiG6twxSmKoMd2V97Ssk3dF85iB8Uy1NNbBff_GJsN1kiwqdTHNL90mlDfobtS-RC25PfnZOrEeM-CnPgEUIoyBOhzvjY_4U8YNb5GNMlfWz23qj97JX1e5RIlOHmV8g2uhJxdKDGcJhJRbOpCocmwsZlR90AQ1TxyNpbLI88LnculH_w7GvcF4M-wXe28HLHVSZZG67yorLtOzjtkLHT7JQHW=w831-h623-no


Hakuna hata mpagani mmoja.

Lakini ghafla baada ya uhuru kupatikana na Waislam kuanza kudai haki
zao ghafla dini ya Wapagani inazushwa kupambanishwa na Waislam.
 
Tulichojaliwa watanzania ni kelele tu.
Natamani mamlaka ya juu imshughulikie mchochezi huyu na hilo gazeti lifungiwe ikibidi.
Kwani haya si maadili ya media kabisa.
The Hyper,
''Mwembechai Kiliings...'' kitabu cha Njozi kilichoonya kuhusu haya haya
kilifungiwa 2002 je ndiyo tatizo limekwisha?

Dawa si kufungia magazeti.
Ufumbuzi ni kukabiliana na tatizo kujua ukweli.
 
Afrodenzi,
Ndipo nilipokuambia kuwa hapa JF kuna kila aina ya wachangiaji.

Upagani ni dini kama zilivyo dini nyingine lakini kwa bahati mbaya
hili hukuwa unalijua.

Chukua nafasi hii kufanya utafiti utajua na ndiyo sababu ukiuliza dini
jibu litakuwa Muislam, Mkristo au Mpagani.

Wewe unaishi na Mpagani ''mmoja.''
Kupitia yeye ukakutana na Wapagani ''wengi sana.''

Labda nikufahamishe.

Nimefanya utafiti wa historia ya Tanganyika kuanzia 1900 hadi mwisho
wa karne ya 20 sijawakuta Wapagani.

Kanisa limefika kule kote ambako Uislam haukuwa na nguvu.

Katika harakati zote za mapambano dhidi ya ukoloni hakuna popote
nilipowakuta.

Fika Mahenge, Songea kwenye Makumbusho ya Vita Vya Maji Maji
soma majina ya wazalendo walionyongwa na Wajerumani hutakuta
jina wala kaburi la Mpagani.

Pale utaona kaburi moja walimozikwa Waislam takriban wapiganaji 60
na pembeni kuna kaburi alikozikwa shujaa mmoja peke yake Sultan
Abdul Rauf Songea Mbano.

Songea%2BMbano.JPG

Sultani Abdul Rauf Songea Mbano


Hawa Wapagani watakuwa wamejificha katika pango gani?

Njoo 1929 wakati African Assocation inaasisiwa Dar es Salaam angalia
majina ya waasisi wake wengi ni Waislam na Wakristo wachache.

Wapagani hawako.
Labda nikuulize hawa Wapagani wao walikuwa hawataki kudai haki zao?

Jibu ni kuwa hawakuwapo popote.
Njoo sasa 1954 TANU inaasisiwa.

1CJ_BcHTdRGWCLvYs87KZyyjkGglVeHmgj9MWq0CN56VUwiXtX0eB0Tb_fmgtw_LayauG6TD0Qs8u-iyJvN1R38R76ufuUvidj1Qv98QXYCbd-NTMsO8Na8e4PJPxfnM6tb1nxLEuay5MB-zDFbLFRuN5E6dZbKNFZF6sGviuQ0yBBxl8XZR0rAiEJFByCvDo5Xcr7PQs5n1iRYH9JJNfTOGsIsTrTKsaxxCkPVvr_VupHp0VTchDPksQj3jX3s1bs9nmxGgfcl4Xm253wNWWGivRfEMePME2KW4wWPNQQw09qXWN11aS43bFjKgKQW2MaJh9gicM2NBDkqnexJb1iBMnaXURYMwEm8OWcN-49LBaOhXixrz2YNtcewsIy04JB9A-_C5_btokNJ0m2fBQTQiG6twxSmKoMd2V97Ssk3dF85iB8Uy1NNbBff_GJsN1kiwqdTHNL90mlDfobtS-RC25PfnZOrEeM-CnPgEUIoyBOhzvjY_4U8YNb5GNMlfWz23qj97JX1e5RIlOHmV8g2uhJxdKDGcJhJRbOpCocmwsZlR90AQ1TxyNpbLI88LnculH_w7GvcF4M-wXe28HLHVSZZG67yorLtOzjtkLHT7JQHW=w831-h623-no


Hakuna hata mpagani mmoja.

Lakini ghafla baada ya uhuru kupatikana na Waislam kuanza kudai haki
zao ghafla dini ya Wapagani inazushwa kupambanishwa na Waislam.
Kama jinsi Ukristu na Uislam ulivyoletwa Tanzania na ndivyo upagani ulivyoingia Tanzania .

Kwa vile wewe hujawahi kukutana na mpagani haimaanishi hakuna mpagani Tanzania.

Na upagani sio dini.
 
Kama jinsi Ukristu na Uislam ulivyoletwa Tanzania na ndivyo upagani ulivyoingia Tanzania .

Kwa vile wewe hujawahi kukutana na mpagani haimaanishi hakuna mpagani Tanzania.

Na upagani sio dini.
Afrodenzi,
Huna uwezo wa kujadili mambo haya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom