Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.
Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.
Mkuu kwani hujui kama BAKWATA ni tawi la CCM? Hawana lolote zaidi ya usanii! kama hivyo jitu zima linalia kama bwabwa,linalia kwa utamu wa posho linazugia ujinga wake.
Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.
Laki tatu (300,000)per day siyo mchezo
nani kasema kuwa shekh jongo anawakilisha waislamu...ni mchumia tumbo tu!Kwa matusi yenu dhidi ya waislam mnaonesha jinsi gani mlivyo wadini. Ilikua busara kumsema kutoka na mawazo yake na sio uislam.
Kwa matusi yenu dhidi ya waislam mnaonesha jinsi gani mlivyo wadini. Ilikua busara kumsema kutoka na mawazo yake na sio uislam.
hata mm nimeshangaa labla hajui maana ya matusi huyu MFUGA MAJINI kwani ukimrekebisha mtu ndo umemtukana?
Mkuu kwani hujui kama BAKWATA ni tawi la CCM? Hawana lolote zaidi ya usanii! kama hivyo jitu zima linalia kama bwabwa,linalia kwa utamu wa posho linazugia ujinga wake.
jambo hili si zuri, ni tusi kubwa sana kwa mzee anaefanana na baba yetu, ingawa hakuwa na sababu yakulia,alitaka auze stori kesho ktk magazeti
acha unafiki wewe mtu mnafiki lazima apewe dozi,yeye baba yetu anatusaliti tumfanyeje!
Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.
hata mm nimeshangaa labla hajui maana ya matusi huyu MFUGA MAJINI kwani ukimrekebisha mtu ndo umemtukana?
Mbona na wewe unatukana? tumia lugha za kistaarabu, kukashifu dini za wengine ni kinyume na tamaduni zetu watanzania.
kwa nini ustaarabu unashinda wengi? Matusi haya yanawasaidia nini? Tuwe watu wenye busara humu hata kama mtu amekosea akosolewe bila matusi.
jambo hili si zuri, ni tusi kubwa sana kwa mzee anaefanana na baba yetu, ingawa hakuwa na sababu yakulia,alitaka auze stori kesho ktk magazeti