Sheikh Jongo alia bungeni

Sheikh Jongo alia bungeni

Ndugu yangu we acha tu huuu ni unafiki wa hali ya juu unamlilia nyerere !!!!!kwakweli roho imeniuma mpaka basi
Ha ha haaaaaaaa, pole mkuu.

Mi sijaona hio makitu kama vp wekeni clip.
 
Hana point ya maana anajifanya kulia bungeni kisa eti waasisi wametukanwa.Babu zao walishirikiana na hao waasisi.Hawa ndiyo masheikh wa Bakwata usanii mtupu.

Tumeambiwa BMK leo limepatwa na MSIBA! Mimi nafikiri huyu Sheikh Jongo amelia kwasababu mjumbe mwenzao kutoka kundi la 201 amefiwa na baba yake mzazi. Sitaki kuamini kabisa Sheikh Jongo amelia kwasababu nyingine kabisa zaidi ya hiyo niliyoitaja. Vinginevyo bungeni kutakuwa na toddlers.
 
Tumeambiwa BMK leo limepatwa na MSIBA! Mimi nafikiri huyu Sheikh Jongo amelia kwasababu mjumbe mwenzao kutoka kundi la 201 amefiwa na baba yake mzazi. Sitaki kuamini kabisa Sheikh Jongo amelia kwasababu nyingine kabisa zaidi ya hiyo niliyoitaja. Vinginevyo bungeni kutakuwa na toddlers.

Kalia jana mkuu huu ni unafiki uliopitiliza na ni dhihaka kwa sisi waislam tunaojitambua.Hajawai kulia waislam kukosa university shule za bakwata kufanya vibaya waislam kutokua na hospitali ys rufaa ,vijana wa kiislam kujiingiza ktk biashara ya madawa ya kulevya na ukahaba etc ....Eti anamlilia marehemu nyerere na karume.
 
Back
Top Bottom