Sheikh issa ponda,radio imaan,al nuur ni janga kitaifa...!

Tanzaniaist

Senior Member
Nov 29, 2011
161
156
Asalaam wana Jf..!

Tanzania tumekuwa kuwa na maadui wakubwa siku zote watatu..,maradhi,umaskini na ujinga..!
sasa limezuka tatizo jingine la udini..,ambalo limeanzishwa na kikundi cha watu wenye maslahi yao binafsi wanaowatumia waislamu ili kufanikisha azma yao..,ni yao yao ni kuona vurugu za kidini,makanisa na misikiti yakichomwa moto, watanzania wenyewe kwa wenye..!

Siku zote Radio Imaan na Gazeti la Alnuur limeacha kazi ya kuongelea mazuri ya dini ya kiislamu na kuwapa habari njema waislamu badala yake imekuwa ikichochea chuki baina ya wakristo na waislamu,..imekuwa ikihamasisha kwamba waislamu ni watu wa kuonewa na wakristo,wakristo ni watu wa kupendelewa na serikali mara mfumo kristo..,naomba nisisitize vyombo vya habari vilihamasisha mauaji ya kimbari kwa asilimia 80 huko rwanda na burundi..Na sijui kwanini serikali imechelewa kuvinfungia hivi vyombo vya habari kwani hata mkurugenzi wa redio Imaan sio hata mtanzania..! na inamilikwa na taasisi ya the islamic foundation inayopata misaada toka nnje


Sheikh Issa Ponda..,huyu ndio amekuwa baba wa udini hapa Tanzania, na asili yake ni Burundi..,huyu amesifu watu waliochoma makanisa kule mbagala,,..na pia kuongea maneno ya kichochezi dhidi ya rais Mh.Dk.Jakaya kikwete..,
na pia ndio aliyeongoza maandaamano mbele ya makao makuu ya polisi kutaka watu waondolewe gerezeni waliosusia sensa, na vile vile kumitishia maisha sheikh mkuu shabaan simba,
na amekuwa akitumia mtaji wa waislamu kujinufaisha yeye kwa kupata misaada toka nnje..!






Napenda mwisho nikuu..,kama serikali itaendelea kumbeza huyu mtu...,machafuko yako njiani kutokea kwani huyu ndio amkuwa mhamasishaji mkubwa wa udini Tanzania..,na hata makuwa akichochea mganwanyiko baina ya waislamu baada ya kuaanda mipango ya kuipindua bakwata..!

na vile vile ningeisihi serikali iifungie radio imaan na gazeti la alnuuur kwani ni ya kichochezi, na yamekuwa yakipotosha umma na kujenga chuki baina ya watanzania
 
Asalaam wana Jf..!

Tanzania tumekuwa kuwa na maadui wakubwa siku zote watatu..,maradhi,umaskini na ujinga..!
sasa limezuka tatizo jingine la udini..,ambalo limeanzishwa na kikundi cha watu wenye maslahi yao binafsi wanaowatumia waislamu ili kufanikisha azma yao..,ni yao yao ni kuona vurugu za kidini,makanisa na misikiti yakichomwa moto, watanzania wenyewe kwa wenye..!

Siku zote Radio Imaan na Gazeti la Alnuur limeacha kazi ya kuongelea mazuri ya dini ya kiislamu na kuwapa habari njema waislamu badala yake imekuwa ikichochea chuki baina ya wakristo na waislamu,..imekuwa ikihamasisha kwamba waislamu ni watu wa kuonewa na wakristo,wakristo ni watu wa kupendelewa na serikali mara mfumo kristo..,naomba nisisitize vyombo vya habari vilihamasisha mauaji ya kimbari kwa asilimia 80 huko rwanda na burundi..Na sijui kwanini serikali imechelewa kuvinfungia hivi vyombo vya habari kwani hata mkurugenzi wa redio Imaan sio hata mtanzania..! na inamilikwa na taasisi ya the islamic foundation inayopata misaada toka nnje


Sheikh Issa Ponda..,huyu ndio amekuwa baba wa udini hapa Tanzania, na asili yake ni Burundi..,huyu amesifu watu waliochoma makanisa kule mbagala,,..na pia kuongea maneno ya kichochezi dhidi ya rais Mh.Dk.Jakaya kikwete..,
na pia ndio aliyeongoza maandaamano mbele ya makao makuu ya polisi kutaka watu waondolewe gerezeni waliosusia sensa, na vile vile kumitishia maisha sheikh mkuu shabaan simba,
na amekuwa akitumia mtaji wa waislamu kujinufaisha yeye kwa kupata misaada toka nnje..!






Napenda mwisho nikuu..,kama serikali itaendelea kumbeza huyu mtu...,machafuko yako njiani kutokea kwani huyu ndio amkuwa mhamasishaji mkubwa wa udini Tanzania..,na hata makuwa akichochea mganwanyiko baina ya waislamu baada ya kuaanda mipango ya kuipindua bakwata..!

na vile vile ningeisihi serikali iifungie radio imaan na gazeti la alnuuur kwani ni ya kichochezi, na yamekuwa yakipotosha umma na kujenga chuki baina ya watanzania

Wanamlea anaeneza sumu ya kuvunja amani. If it were Christians being told to brake law by the religious leaders, one will not bother as christian followers will never accept things without reasoning. Sasa kwa ndugu zetu, ni tofauti. let us wait and see. Najaribu ku-imagine sehemu/mikoa zenye wakristo wengi kitatokea nini makanisa yakichomwa! Amani itavunjika. Serikali mdhibitini huyu shetani
 
hii issue ni very hot jaman i used to ask ndugu zangu na rafiki zangu kama wamedhamiria kweli kuyafanya haya mambo. otherz are honest. Kwa kweli waislam peanen elimu kuna wa2 wachache wanaotaka kuuharibu uislam. I remember last month nilikua Mvomero kijiji flani kinaitwa kipera 2nafanya study flan but shehe mmoja akawatangazia raia kwamba sisi 2lioingia kule kijijin ni freemason. Raia wote kesho yake walikua wana2kimbia 2likua almost 2pigwe. Jaman elim ya madrasa haitoshi jaribuni na elim dunia kidogo.
 
Sheikh Farid ni Mwarabu mwanajeshi aliekimbia Jeshi Kuwait, ana passport zaidi ya 4 za nchi za Kiislamu. Tuweni makini nji imejaa maadui zetu.
 
Mi Huwa najiuliza sana na sipati majibu Kuna watu wana chuki haswa na uislam na si vinginevyo.hawataki kuskia sauti ya waislam ikiskika kwa nini mtu usifanye mambo yako au kuleta hoja tofauti na kuzungumzia watu .kama huyu jamaa aliyoandika hii makala sijaipenda na sijui shida yake hasa ni nini .ila ukweli Uko palepale mtu wenye matunda ndo unaorushiwa mawe na si mchongoma.
 
Wanafurahia yanayotokea Nigeria, Afghanistan, Pakistan, Mali, Somalia nk, matokeo yake wanakuwa copycat wa makundi kama Boko haram, Alshaabab, Taliban na mengine kama hayo. Naanza kuamini kuna mtu mmoja aliniambia kuwa majini wa kuzimu wanaishi kwa kunywa damu ya binadamu sasa inaonekana yana njaa sana and therefore the blood is in big demand!!
 
Sheikh Farid ni Mwarabu mwanajeshi aliekimbia Jeshi Kuwait, ana passport zaidi ya 4 za nchi za Kiislamu. Tuweni makini nji imejaa maadui zetu.

Hawa si ndio babake bush alikwenda wakomboa?Duh..kweli kafir hana wa kumpa ahsante.Kwani mabwanyenye huamini ni wajibu wao.
 
hii issue ni very hot jaman i used to ask ndugu zangu na rafiki zangu kama wamedhamiria kweli kuyafanya haya mambo. otherz are honest. Kwa kweli waislam peanen elimu kuna wa2 wachache wanaotaka kuuharibu uislam. I remember last month nilikua Mvomero kijiji flani kinaitwa kipera 2nafanya study flan but shehe mmoja akawatangazia raia kwamba sisi 2lioingia kule kijijin ni freemason. Raia wote kesho yake walikua wana2kimbia 2likua almost 2pigwe. Jaman elim ya madrasa haitoshi jaribuni na elim dunia kidogo.

Hizi ni kauli tuu za kuwalainisha.Waislam walivyo na hasira mtu kuharibu dini yao wasingewaacha hao jamaa ndani ya dini yao.Ila utetezi huo hutolewa wakati wengine wakiangamia duniani kote.Sijasikia Jihad kupitia Ftwa kwa akina ponda tka msikiti wowote.Anayenunua hii habari muislam asiyeijua dini na kafiri anayeishi vizuri na waislam.Otherwise basi wangesafisha dini yao na waaribifu wa uislma wangeushambulia kw akuchoma misikiti halafu tusikie hii habari vyema.
 
Mataifa ya nje yanafurahi sana kwa migawanyiko hii ya kidini,maana walikuwa wanawaonea wivu watanzania sana kwa kuwa na amani na utulivu.ulevi wa dini umetuponza, masikini Tanzania!
 
Mataifa ya nje yanafurahi sana kwa migawanyiko hii ya kidini,maana walikuwa wanawaonea wivu watanzania sana kwa kuwa na amani na utulivu.ulevi wa dini umetuponza, masikini Tanzania!


Tatizo watu wadini moja wali dominate hii nchi kwa muda mrefu wakawakandia wenzao ambao walilalamika kwa miaka mingi, hawakuwasikiliza, kibaya zaidi wakaita majina mengi ya kijeli na kibehi, sasa nao nadhani wameamua...Hakuna amani kama haki haitendeki
 
Tatizo watu wadini moja wali dominate hii nchi kwa muda mrefu wakawakandia wenzao ambao walilalamika kwa miaka mingi, hawakuwasikiliza, kibaya zaidi wakaita majina mengi ya kijeli na kibehi, sasa nao nadhani wameamua...Hakuna amani kama haki haitendeki


Wewe unatafutia haki jf??? unachekesha
 
Katika hili la ponda, Kova umejitahidi kutengeneza intro ya kuridhisha kiasi, naomba uweke mwendelezo unaofanana na scipt yako!
 
Wanamlea anaeneza sumu ya kuvunja amani. If it were Christians being told to brake law by the religious leaders, one will not bother as christian followers will never accept things without reasoning. Sasa kwa ndugu zetu, ni tofauti. let us wait and see. Najaribu ku-imagine sehemu/mikoa zenye wakristo wengi kitatokea nini makanisa yakichomwa! Amani itavunjika. Serikali mdhibitini huyu shetani

subhana Llah unamwita sheikh wetu shetani wewe ni mshenzi tena mshenzi kabisa,
kama ungekua rais ungewauwa waislam, nyie tuendelee kuwa bias na washabiki nchi hii mjiande kupigana vita, asikamatwe lema anaesababisha mauaji ya wandamanaji moro, iringa kushawishi watu na kuwanunulia viroba
 
subhana Llah unamwita sheikh wetu shetani wewe ni mshenzi tena mshenzi kabisa,
kama ungekua rais ungewauwa waislam, nyie tuendelee kuwa bias na washabiki nchi hii mjiande kupigana vita, asikamatwe lema anaesababisha mauaji ya wandamanaji moro, iringa kushawishi watu na kuwanunulia viroba

Hapana siwezi kuwaua ndugu zangu waislamu! Ila nasema kuwa reactionary bila reasoning kwa baadhi ya waislam sio vizuri. Ponda ni shetani, wala sio mtu. Angalia, Sheikh wa Mkoa wa Dar ni Malaika yule anayeishi. Mtu mwema kabisa, sikiliza mafundisho yake. Ni mteule wa Mungu
 
Ni kwel, hatua za haraka inabidi zichukuliwe, vinginevyo serikali itakuja shindwa kudhibit machafuko yatakayotokea hapo baadae.

Kwamfano, sasa ni makanisa na makanisa yakiamua kulipiza kisasi, ni msikiti kwa kanisa, kitachofuata ni nyumba ya muislam na nyumba ya mkirsto, wapi tunaenda huko. TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom