Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Asalaam wana Jf..!
Tanzania tumekuwa kuwa na maadui wakubwa siku zote watatu..,maradhi,umaskini na ujinga..!
sasa limezuka tatizo jingine la udini..,ambalo limeanzishwa na kikundi cha watu wenye maslahi yao binafsi wanaowatumia waislamu ili kufanikisha azma yao..,ni yao yao ni kuona vurugu za kidini,makanisa na misikiti yakichomwa moto, watanzania wenyewe kwa wenye..!
Siku zote Radio Imaan na Gazeti la Alnuur limeacha kazi ya kuongelea mazuri ya dini ya kiislamu na kuwapa habari njema waislamu badala yake imekuwa ikichochea chuki baina ya wakristo na waislamu,..imekuwa ikihamasisha kwamba waislamu ni watu wa kuonewa na wakristo,wakristo ni watu wa kupendelewa na serikali mara mfumo kristo..,naomba nisisitize vyombo vya habari vilihamasisha mauaji ya kimbari kwa asilimia 80 huko rwanda na burundi..Na sijui kwanini serikali imechelewa kuvinfungia hivi vyombo vya habari kwani hata mkurugenzi wa redio Imaan sio hata mtanzania..! na inamilikwa na taasisi ya the islamic foundation inayopata misaada toka nnje
Sheikh Issa Ponda..,huyu ndio amekuwa baba wa udini hapa Tanzania, na asili yake ni Burundi..,huyu amesifu watu waliochoma makanisa kule mbagala,,..na pia kuongea maneno ya kichochezi dhidi ya rais Mh.Dk.Jakaya kikwete..,
na pia ndio aliyeongoza maandaamano mbele ya makao makuu ya polisi kutaka watu waondolewe gerezeni waliosusia sensa, na vile vile kumitishia maisha sheikh mkuu shabaan simba,
na amekuwa akitumia mtaji wa waislamu kujinufaisha yeye kwa kupata misaada toka nnje..!
Napenda mwisho nikuu..,kama serikali itaendelea kumbeza huyu mtu...,machafuko yako njiani kutokea kwani huyu ndio amkuwa mhamasishaji mkubwa wa udini Tanzania..,na hata makuwa akichochea mganwanyiko baina ya waislamu baada ya kuaanda mipango ya kuipindua bakwata..!
na vile vile ningeisihi serikali iifungie radio imaan na gazeti la alnuuur kwani ni ya kichochezi, na yamekuwa yakipotosha umma na kujenga chuki baina ya watanzania
Tanzania tumekuwa kuwa na maadui wakubwa siku zote watatu..,maradhi,umaskini na ujinga..!
sasa limezuka tatizo jingine la udini..,ambalo limeanzishwa na kikundi cha watu wenye maslahi yao binafsi wanaowatumia waislamu ili kufanikisha azma yao..,ni yao yao ni kuona vurugu za kidini,makanisa na misikiti yakichomwa moto, watanzania wenyewe kwa wenye..!
Siku zote Radio Imaan na Gazeti la Alnuur limeacha kazi ya kuongelea mazuri ya dini ya kiislamu na kuwapa habari njema waislamu badala yake imekuwa ikichochea chuki baina ya wakristo na waislamu,..imekuwa ikihamasisha kwamba waislamu ni watu wa kuonewa na wakristo,wakristo ni watu wa kupendelewa na serikali mara mfumo kristo..,naomba nisisitize vyombo vya habari vilihamasisha mauaji ya kimbari kwa asilimia 80 huko rwanda na burundi..Na sijui kwanini serikali imechelewa kuvinfungia hivi vyombo vya habari kwani hata mkurugenzi wa redio Imaan sio hata mtanzania..! na inamilikwa na taasisi ya the islamic foundation inayopata misaada toka nnje
Sheikh Issa Ponda..,huyu ndio amekuwa baba wa udini hapa Tanzania, na asili yake ni Burundi..,huyu amesifu watu waliochoma makanisa kule mbagala,,..na pia kuongea maneno ya kichochezi dhidi ya rais Mh.Dk.Jakaya kikwete..,
na pia ndio aliyeongoza maandaamano mbele ya makao makuu ya polisi kutaka watu waondolewe gerezeni waliosusia sensa, na vile vile kumitishia maisha sheikh mkuu shabaan simba,
na amekuwa akitumia mtaji wa waislamu kujinufaisha yeye kwa kupata misaada toka nnje..!
Napenda mwisho nikuu..,kama serikali itaendelea kumbeza huyu mtu...,machafuko yako njiani kutokea kwani huyu ndio amkuwa mhamasishaji mkubwa wa udini Tanzania..,na hata makuwa akichochea mganwanyiko baina ya waislamu baada ya kuaanda mipango ya kuipindua bakwata..!
na vile vile ningeisihi serikali iifungie radio imaan na gazeti la alnuuur kwani ni ya kichochezi, na yamekuwa yakipotosha umma na kujenga chuki baina ya watanzania