nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,621
- 829
Mzee kwa taaluma nakukubali sana ila ulalamishi tuu.Sasa kama msomi kama wewe hivi sasa wengine itakuaje?Anyway nitaingia kwenye hiyo link napenda kusoma.Nyiokunda,
Huna la kusema kuhusu hii hapo chini?:
Mohamed Said: WOMEN LEADERSHIP SUMMIT 2018 MLIMANI CITY 27 FEBRUARY 2018