Namheshimu sana mufti na naomba ndugu waislamu mnisamehe kama nitakuwa nimewaudhi. nimemsikia mufti akilaani maandamano ya CHADEMA na akawataka maimamu nchi nzima walaani pia.
Anasema uchaguzi umekwisha watu wakubali matokeo. Si siku nyingi zimepita alisema viongozi wa dini wasijihusishe na siasa. Je, haya anayozungumza si siasa? CHADEMA wanapinga matokeo? Mbona mauaji ya Arusha alifurahia?
Namwonea huruma, CCM wanamtumia. Ila najiuliza, je, rais ajaye akiwa mkristo atakuwa anamtetea pia? Mnisamehe lakini
Anasema uchaguzi umekwisha watu wakubali matokeo. Si siku nyingi zimepita alisema viongozi wa dini wasijihusishe na siasa. Je, haya anayozungumza si siasa? CHADEMA wanapinga matokeo? Mbona mauaji ya Arusha alifurahia?
Namwonea huruma, CCM wanamtumia. Ila najiuliza, je, rais ajaye akiwa mkristo atakuwa anamtetea pia? Mnisamehe lakini