Shehe akamatwa kwa kuiba Msikitini

Status
Not open for further replies.

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Na Magdalena Mkwama,

MSHITAKIWA Mohamedi Shehe (20), mkazi wa Buguruni Malapa, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Buguruni kujibu mashitaka ya wizi wa amplifaya. Mshitakiwa amesomewa mashitaka na karani Edwin Wandawanda mbele ya Hakimu Adelf Sachore wa Mahakama hiyo.

Amedai kuwa, mshitakiwa aliingia msikitini na kuiba amplifaya ya mlalamikaji Swalehe Hassan ambaye ni Imamu wa Msikiti wa Vingunguti na huku mshitakiwa naye akiwa ni mtoto wa Imamu wa Msikiti wa Buguruni Madenge.

Mshitakiwa amekana mashitaka na kesi itatajwa tena Desemba 22, mwaka huu.

Habari imetoka DL
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom