Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, shere na sisi jinsi ulivyopigwa tukio kwenye mapenzi
Mimi demu wangu wa kuanzia form one , tulipomaliza form four yeye akaenda chuo cha Ualimu, mi nkaenda advance na pakawa hamna mawasiliano, nimemaliza six nae kamaliza cheti cha ualimu na karudi na mimba, alaf jamaa alikua serious mno maana alitoa posa na kuoa mazima.
Mimi demu wangu wa kuanzia form one , tulipomaliza form four yeye akaenda chuo cha Ualimu, mi nkaenda advance na pakawa hamna mawasiliano, nimemaliza six nae kamaliza cheti cha ualimu na karudi na mimba, alaf jamaa alikua serious mno maana alitoa posa na kuoa mazima.