She was my my girl friend......

She was my my girl friend......

Fundi mahiri wa Ujenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
4,748
Reaction score
3,755
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.

Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya

Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.

Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake

Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi


Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa

Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu
 
hajaolewa bado,akiolewa hatakuulizia wala kukufuatilia maana karata yake kwa sasa ni jokery teh teh alifikiria una sura kama ndimu hautapendwa tena.Mchane live kwamba hutaki usumbufu wake bhana mwishowe atakuuliza mnatumia style gani.........
 
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.

Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya

Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.

Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake

Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi


Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa

Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu

Muandikie mitusi ya kufa mtu ukishindwa niombe msaada wa mitusi ya ajabu PM
 
Alijua yupo peke yake?wakati wameshushwa kwa mafungu....!!!!!
Mwambie hutaki hizo mails zake na sms zake atakuaribia ndoa.
 
Mwambie tu ukweli you have a family na sitaki msg zako zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
She was ur girlfriend and now she is in ur past and u r married with a son/daughter, u know her better than us na jinsi unavo enjoy au unavokereka kwenye ndoa yako u know more. Wataka sisi watu wa MMU tukushauri aidha umuache au umfanye mpango wa kando? Mie sikushauri lolote labda wengine coz iko siku atakwambia njoo tupate evening tea halafu utamsimulia yote uliyoambiwa humu huku ukitung'ong'a. Chemshabongo yako looh
 
wanawake kama hao sijui wa nini,
ye alikuona wa nini wenzake waliwaza watakupata lini

aende zake,miaka imeenda hajapata dume la mbegu
aanze kukusumbua wewe....

kalagabao,imekula kwake hiyo
 
Jaribu kufikiria mkeo anasumbuliwa na her ex...sasa kakufuata kukuomba ushauri kuwa afanye nini...
Huo ushauri utaoufikiria kichwani basi ndio nawe utumie huo huo kujinasua kutoka huo mtego...
 
hajaolewa bado,akiolewa hatakuulizia wala kukufuatilia maana karata yake kwa sasa ni jokery teh teh alifikiria una sura kama ndimu hautapendwa tena.Mchane live kwamba hutaki usumbufu wake bhana mwishowe atakuuliza mnatumia style gani.........

Hilo la kwenye Nyekundu alishawahi kuuliza, maana according to pmoses95 , alikuwa anaulizwa mpaka mambo ya ndani nadhani na hilo pia ni la ndani
 
Last edited by a moderator:
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.

Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya

Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.

Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake

Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi


Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa

Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu

Unamuendekeza ndio maana unapokea simu zake na kusoma msg zake.
Delete sms zake kabla hujazisoma! Usipokee simu yake
 
b.itches be like u aint shit huna future until the day it dawns on them that beauty may be vain but patience is a virtue that few possess
 
Pole sana ndg! mimi ni mhanga wa tatzo kama lako, kosa nililofanya mimi ni kwamba nilimsikiliza na ameniharibia sana, kaka ushauri wangu ni kwamba mfikirie mkeo keep away from any conversation from that girl...anataka akuharibie then ajisifie
 
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.

Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya

Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.

Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake

Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi


Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa

Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu

Achana na Shetani huyo, atakuharibia familia yako, usipokee calls zake wala kujibu messages zake
 
Kwanza mwambie mkeo kuhusu huyo "girlfriend", asije akakuharibia ndoa then ikiwezekana huyo mkeo ndo aongee nae awape amani na ndoa yenu
 
Back
Top Bottom