Fundi mahiri wa Ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,748
- 3,755
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam
Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.
Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya
Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.
Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake
Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi
Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa
Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu
Alikuwa mpenzi wangu enzi hizo tuko chuo
Tulipomaliza chuo akapata kazi nzuri
Baada ya miezi mitatu akanidump
Niliumia sana.
Maisha yakaendelea
Hisia zangu zote zilikuwa kwake
Niliona hakuna mwanamke kama yeye.
Nilikuwa namuota daily
nilisikia akijivinjari na wengine lkn nilikuwa sina cha kufanya
Miezi 10 ilipita nikiwa single
One day nikakutana na binti mmoja hivi
Nikamtamani from that day
Nikafanya mchakato nikafanikiwa kumpata
Baadae tukapendana na si kutamaniana tena
Nikaamua kumuoa
Tukafunga pingu za maisha.
Aliyenitosa akapata taarifa kuwa nimeoa
Sikumoja akanitumia mail
Akiniambia eti kasikia nimeoa mwanamke anae fanana nae
Mimi sikujibu mail yake
Kinachonishangaza baada ya hapo akaanza kunipigia simu
Akiniuliza mambo ya ndani kabisa ya familia yangu
Mala ooooh to what extent i do love my wife
Mala ooooh anaenjoy sex kama alivyo kuwa ana enjoy yeye
Mala ooooooooooh huwa unamtoa out na ni wapi
Juzi juzi hapa tumepata mtoto wa kwanza na mke wangu
Akanipigia simu tena akiuliza mambo ya ndani kabisa
Jamani nimfanyeje huyu binti
Na nikipi hasa kinachomsukuma kufuatilia maisha yangu