She wants to be alone

Hakika kibuti ni kibaya, yani unaona kila rangi kama hivi. Pole mkuu
 
Karne hii unaliA lia kuachwa wakati mademu ni wengi kuzd wanaume?? Labda nikusaidie kufaham kwann amekuacha.
Mchunguze marafk zake wana tabia gan,pia kama anafanya kaz jua kuna bwege mmoja kazin kwao limemurubun au kapachikwa MIMBA ANATUMIA TECHNIC ASIAIBIKE.Lakini!!!!!!!! wakati unampata wewe si aliacha mwingine kaumia kama wewe??? basi ni zamu yako jombaaa,ila usiwaze sana maana she is wasting her times
 

Mweh!!! Hivi nao huu una types zake😱
Mie nilikuwa sijui asee, tumuulize mleta mada yeye ni aina gani ya hao watu😡
 
Hayo marangi yako unaumiza macho, hata sijajua kimeandikwa nini
 
kakuchanganya sana rangi zote umeziona!
 
Nashukuru kwa mawazo yenu nitayafanyia kazi
 
HUYO NI CUTE KWAKO KWANGU MIMI NI MONG'O.BY THE WAY MTAFUTE MNYONGE MWENZAKO UMUIBIE HUYO KAIBWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…