She is not my standard

Demu asiejua kufunga miguu ni kama una-commit suicide.

Usimuoe kabisa.

aah wapi its depend na huyo demu yawezekana ajapata pakutulia aiseee.... usimshauri hivyo mimi namshauri aoe tu
 
kumbe wa jua hafar AMA umenogewa? Kama ndio oa ila Julie wataendelea kula Wengi sandAl! Kama hujanogewa stop
 
nime fuatilia comments zote .niltaman kukutukana.kukusema bt unavyowajbu ina onyesha jns gan nawe umekerwa.skia bro
1.vaa sura ya kiume.ucwe na huruma kabsa ktk hili..
2.block her numbr.
3.hama hlo eneo japo ni kwako..
4.tengeneza mtego wa kumfumania as kuna mwa jf kaxema umpe namba huyo gal
5..anza kua na vsa kwake as anaweza tafuta namba mpya.afu huyo gal yupo serious.mtoto ya mjin so anajua michezo yote ya wanaume.afu anaufaham udhaifu wako xo ataku texa xana..kama ukzubaa as nimekuona ktk maandsh yako una upole na huruma fulan
lastly.huyo gal wako mpya.make sure anakuelewa kuhusu kuhama hapo kwako...livalie gwanda u can bro.kila lakheri
 

You said mpendwa...baadhi ya wanaume sijui huwa wanafikiria kwa kutumia ninii. Umemwambia ukweli kabisaa
 


gash! mmh hard to swallow mpige chini kwanini alikuwa ananahiwa na rafiki zako mmh hafai kimbia bado kweupe
 
miaka mitatu sasa una mgegeda mtoto wa watu sasa unataka kumwacha na utamu umesha muonjesha....! ushauri, chukuwa maamuzi magumu kwa faida ya maisha yako,
 
namba hukuomba wewe lakini ukawa wakwanza kugegeda huyo dada anatakiwa kukaza kamba hadi umwoe na degree zako
 
KOKUTONA na mwekundu naombeni mje mniambie mmei LIKE hii mada kwa sababu ipi ili na mimi niangalie uwezekano wa kui LIKE!
 
Last edited by a moderator:
namba hukuomba wewe lakini ukawa wakwanza kugegeda huyo dada anatakiwa kukaza kamba hadi umwoe na degree zako

Bulaki womani mimi ni darasa la nne felia naweza kukuwowa tafadhali?
 

Wewe mwenyewe unaonekana kunogewa, kamilisha tu Mambo. lama una degree mbili, ndoa ni PHD ambayo credential unazipata along the way. Chukua, weka ndani halafu Mambo yatajipa!
 
Huyu jamaa ana matatizo yake
Bint amekuwa approached jioni mbele yako then usiku uka sex nae kisha ukampasia rafiki yako huku ukiendelea naye!!!
Huyo binti ni mpu.uzi sana
Unakutana na mtu mchana usiku unamvulia chup.i unatarajia atakuheshimu vipi?
She is your standard kabisa,marry her wala usitafute sababu maana unayoyahofia kwake kwako ni mara mbili yake hujioni tu!!
Kweli hao wanafanana!
 
Kwan sasa huwa wanakuangalia vip kupita njia waliyopita wenzio ? yaani kama ni guo wenzio wamevaa wakaona haifai lakin wewe ukaona ni new fasion ? huon kama wewe hauna wazo lolote la maana zaidi ya kuvaa mitumba ambayo wenzio waliona haina maana? hebu endelea naye na umuoe vinginevyo cha moto utakiona
 
Kusema kweli jf imevamiwa na yoso. Hivi unatarajia great thinker atakushauri chochote kuhusu ufuska wakati binti zetu walishaolewa na tuna wajukuu? Lete vitu vyenye kuleta maendeleo na utambuzi katika jamii badala ya uzinzi. Kamwulize baba yako uone atakupa ushauri gani. Mnatia aibu,hamieni facebook.
 
pole kaka,but kaa ujue we ndio mwokozi wake uliebaki had sasa,ukichunguza kiundani una interest nae ndio mana ukapata muda wa kutaka kumjua ye ni nani,kwa kuwa unafahamu mengi yake,mazuri na mabaya please take time with her,by nature hakuna mwanamke ambaye hafai kila tabia inafunzwa,kama hivyo pia huachwa ikifika muda,jiulize haya,kama utamuacha wewe unafikir nan atakaa nae?
Pili mawazo kukua ni mazingira yeye anakaa na nan muda mwingi,kama utaamua kuwa nae wewe ina maana muda mwingi ataadapt tabia zako,hizo za masterz,pia suala la elimu sio tatizo,unaweza ukasoma usiweze kumudu mambo ya ndani ya ndoa bt ukawa la saba lakini ukajua nini unafanya kama atapata mwongozo mzuri.
DONT LEAVE HER..........
 

xema wexe, nikixema mie mdada, wataxema mbeax....
 
Huyu jamaa ana matatizo yake

Huyo binti ni mpu.uzi sana
Unakutana na mtu mchana usiku unamvulia chup.i unatarajia atakuheshimu vipi?

Kweli hao wanafanana!
Shikamoo baba Paroko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…