She got a gwan....

Maana yake ni nini kwanza?
 
Hello JF,

Mwana dada gani humu has got a gwan??😛😛😎😉🤣

Hii ngoma ilikuwa ndo dancehall iliyokuwa inatikisa kipindi hicho, mipango ikawa kwamba remix ikafanyiwe jamaica na mkali wa dancehall kipindi hicho beenie man, mimi nilitamani akaipige na wayne wonder
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…