Shauri la malezi ya mtoto: Diamond, Hamisa Mobetto mambo safi

Mbona huko kwenye forum.ya waganda nimeona wanasua mahakama imeamuru diamond àmlipe hamisa 9 mil ush.
Na hamisa kaeka ka mkoba ka madolary kwenye profile yake?

Lkn diamond kasema hana huo uwezo wa hela nyingi hivyo?
Safari hii wametunyima ubuyu, Hamisa anachekelea tu sijui wameamuaje.
 
Back
Top Bottom