Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Nimeipenda hii uzi jaman,
I real thx GOD they alivoniumba,
Hakika alitumia muda na ufundi wake wa kutosha kwan kila alichoniumbia ni chema,kizuri na chakuoendeza,
Sio siri najivunia kwa kila kiungo nilichoumbiwa mwilin mwangu,kwan amenipa vyote nilivyostahili na vinanifanya nipendeze na kuwa mrembo wakati wote.
Mwanakwetu, Mungu akupe nini kama sio gunia la chawa aisee! LOL!!