Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 5,677
- 6,962
Mmh tabia mbaya hiyo hadi uamue ww jamani!Sijawahi kuachwa kwakweli kwasababu naogopa sana maumivu ya kuachwa.
Nikianza kuona hakueleweki naanza kujitoa mdogo mdogo halafu nakupa tu taarifa kwamba mimi na wewe basi na ukitaka sababu nakupa.
Sisubiri kuachwa kwakweli na hata ikitokea nakupenda sana ukitaka kuniacha nitakubembeleza mpaka utanionea huruma na uhusiano utarudi ila huko mbele ntakayekuacha ni mimi mana hapo sitakuwa na maumivu tena.