Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
.....piece>>>peacepamoja kapeace .....piece and love
.....piece>>>peacepamoja kapeace .....piece and love
Umenena kwa hisia sana, pole sanaDah! Nilikosa kidogo sana kufa...
Na mpaka leo hii nimeshindwa kumtoa kwenye moyo wangu...maumivu yake hayaelezeki...amebadilisha maisha yangu, amenidhulumu sana.lakini sitaki kumrejea alinikosea vibaya sana.
Usiruhusu hali hiyo iendelee. Hatogawa maumivu yako rafikiyo, wala hatobeba machungu yako anaekupenda, wala hatokesha kwa mazito yako alie karibu nawe.Dah! Nilikosa kidogo sana kufa...
Na mpaka leo hii nimeshindwa kumtoa kwenye moyo wangu...maumivu yake hayaelezeki...amebadilisha maisha yangu, amenidhulumu sana.lakini sitaki kumrejea alinikosea vibaya sana.
Tivumiliane tu hovyo hivyo hakuna namna.....piece>>>peace
aisee poaTivumiliane tu hovyo hivyo hakuna namna
Pole mkuuha haha hahaaa haaaaa.
aisee mm niliona kizunguzungu ghafla baada ya kupokea txt toka kwa manzi baada ya mahusiano kudumu kwa muda wa wiki mbili tu.
mbaya zaidi kilichoniuma ni kwamba yule dem yeye ndio alijitongozesha kabla ya kuwa wapenzi mm sikuw na habar nae.
ila kiukwl ni mzur sana mpaka leo hii roho bado inaniuma
Pole mkuuha haha hahaaa haaaaa.
aisee mm niliona kizunguzungu ghafla baada ya kupokea txt toka kwa manzi baada ya mahusiano kudumu kwa muda wa wiki mbili tu.
mbaya zaidi kilichoniuma ni kwamba yule dem yeye ndio alijitongozesha kabla ya kuwa wapenzi mm sikuw na habar nae.
ila kiukwl ni mzur sana mpaka leo hii roho bado inaniuma
Ha ha ha sio kwa michapio hiyoo... Ni shidaahaisee poa
Ukiwa una-type kuwa makiniHa ha ha sio kwa michapio hiyoo... Ni shidaah
Pole mkuu
Mmh! Umesema kweli mkuu , na mpaka kusema nimeshindwa ujue nimeshindwa na hakuna aliyeweza!Usiruhusu hali hiyo iendelee. Hatogawa maumivu yako rafikiyo, wala hatobeba machungu yako anaekupenda, wala hatokesha kwa mazito yako alie karibu nawe.
Maneno ya Makkah,safi mkuu tupeane moyoNikimfikiria kama sio mzazi wangu hata sipati shida!! Aende tu ye ni nani hapa duniani kama nikimkosa nitaishi miserable life
ShukranUmenena kwa hisia sana, pole sana