Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Wadau habari za Mwaka mpya natumaini mu wazima wa Afya.
Nafikiri wengi wetu ni wahanga wa mapenzi na tuna majeraha ya mapenzi.
Tujadiliane je siku ulipoambiwa na mpenzi wako uliempenda kwa dhati kwamba mimi na wewe basi ulijisikiaje?
Mimi nakumbuka siku hiyo sikulala Usiku kucha,kwani tulikuwa tumepanga mengi mimi na mwenzangu kwa kweli nilijisikia vibaya.
Nafikiri wengi wetu ni wahanga wa mapenzi na tuna majeraha ya mapenzi.
Tujadiliane je siku ulipoambiwa na mpenzi wako uliempenda kwa dhati kwamba mimi na wewe basi ulijisikiaje?
Mimi nakumbuka siku hiyo sikulala Usiku kucha,kwani tulikuwa tumepanga mengi mimi na mwenzangu kwa kweli nilijisikia vibaya.