Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 796
- 3,248
Kati ya vitu vinakera Basi nikutumia simu kwa mashaka ya kukuishia charge/kuzima kabla ya muda ambao hutarajii/hukupanga kuicharge.
Raha ya smartphone yeyote ni kuitumia kwa uhuru kadiri ya mahitaji yako ya siku nzima,
Uhuru huo ni uhakika wa kuitumia simu yako siku nzima kuanzia asubuh unapotoka nyumbn mpk jioni/usiku unaporudi ikiwa imebakia na asilimia kadhaa za charge bila kulazimika...
kuzima Simu, Data, kuweka ultra power saving au kuiweka kwenye Airplane mode.
Hata km una smartphone nzuri kiasi gani, ya bei kubwa kiasi gani, lkn km inakupa pressure ya kukuishia charge kana kwamba kila ukiitumia macho yapo kwenye battery percentage , ni wazi hio simu Haikupatii kile unachostahili.
Sikuhizi imekua kawaida kuona brother men au sista duu anatembea na charge mkononi au power bank, mwingine analazimika kubeba begi ili aweke charge na extension popote atakapofikia akiona socket roho haitulii..
Simu yako inakufanya unakua mtumwa,
Juzi pale Ubungo nishakata tiket ya seat yang, kabla ya gari kuondoka nikatoka mara moja, narudi kuna mshkaji amekaa, namuuliza kaka vipi mbona umehamia kwenye nafasi yangu?
Jamaa aliniomba kana kwamba anataka kulia....
"Bro nakuomba nikae hapa, pale kwenye seat yangu usb port ya kuchajia simu imeharika" nikaona isiwe tabu nimwachie mwana, ikabd niende kukaa kwenye seat yake, baada ya dk kadhaa akaja mtoto mzuri, namshukuru kwa hilo.
Hii imekua kawaida tunashuhudia, kuna watu wengne km basi haina USB port ya kuchajia simu hapandi, na wengi wasivyojua zile zina madhara sana kwenye simu.
Tuambie,
Simu yako inaweza kukuaa na charge mda gani?
Tushauri simu gani inakaa na charge vzr pengne huu utakua msaada kwa wengi...
Mimi natumia s7 edge, hii yangu ni almost masaa 9 au chini ya hapo nikiwa naperuzi muda mwingi....
Hili silifurahii na ninataka kubadilisha, kabla ya kubadilisha ningependa kujua ni simu gani inakaa vizuri na charge? Lkn pia iwe NZURI, Hii ndio screeshot yangu
Raha ya smartphone yeyote ni kuitumia kwa uhuru kadiri ya mahitaji yako ya siku nzima,
Uhuru huo ni uhakika wa kuitumia simu yako siku nzima kuanzia asubuh unapotoka nyumbn mpk jioni/usiku unaporudi ikiwa imebakia na asilimia kadhaa za charge bila kulazimika...
kuzima Simu, Data, kuweka ultra power saving au kuiweka kwenye Airplane mode.
Hata km una smartphone nzuri kiasi gani, ya bei kubwa kiasi gani, lkn km inakupa pressure ya kukuishia charge kana kwamba kila ukiitumia macho yapo kwenye battery percentage , ni wazi hio simu Haikupatii kile unachostahili.
Sikuhizi imekua kawaida kuona brother men au sista duu anatembea na charge mkononi au power bank, mwingine analazimika kubeba begi ili aweke charge na extension popote atakapofikia akiona socket roho haitulii..
Simu yako inakufanya unakua mtumwa,
Juzi pale Ubungo nishakata tiket ya seat yang, kabla ya gari kuondoka nikatoka mara moja, narudi kuna mshkaji amekaa, namuuliza kaka vipi mbona umehamia kwenye nafasi yangu?
Jamaa aliniomba kana kwamba anataka kulia....
"Bro nakuomba nikae hapa, pale kwenye seat yangu usb port ya kuchajia simu imeharika" nikaona isiwe tabu nimwachie mwana, ikabd niende kukaa kwenye seat yake, baada ya dk kadhaa akaja mtoto mzuri, namshukuru kwa hilo.
Hii imekua kawaida tunashuhudia, kuna watu wengne km basi haina USB port ya kuchajia simu hapandi, na wengi wasivyojua zile zina madhara sana kwenye simu.
Tuambie,
Simu yako inaweza kukuaa na charge mda gani?
Tushauri simu gani inakaa na charge vzr pengne huu utakua msaada kwa wengi...
Mimi natumia s7 edge, hii yangu ni almost masaa 9 au chini ya hapo nikiwa naperuzi muda mwingi....
Hili silifurahii na ninataka kubadilisha, kabla ya kubadilisha ningependa kujua ni simu gani inakaa vizuri na charge? Lkn pia iwe NZURI, Hii ndio screeshot yangu