SHARE: Je, simu yako ikiwa kwenye 'DATA ON' Inakaa na charge kwa muda gani?

Kiboko hii...
Since morning sijazima data!!
IMG_20200409_223725.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo na A10s ipi iko vizuri zaidi mkuu?
A10s A20 upuuzi mtupu sijajua kwann watu mnazipenda hizi simu
huyo mnyama alomtaja hapo ni moto wa kuotea mbali mm nina A7 ya 2016 hatari yake balaa tupu kila idara sema ina gb 16 tu storage ila hatari sana nimeiwekea memory ya samsung gb 32 ni ni noma yaani sijui mi kwann samsung kaacha hizi A katuletea upupu A10 A20 na wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataka cm inayokaa na charge sana kanunue matoleo mapya ya iphone 11 pro max na huawei p40 ndo bora kwa sasa
 
Hio ni mentality ya watu waliyoijenga hasa kwa kuzingatia simu za nyuma km s4 na note 7, na sio kwa sbb nyingne bali battey capacity zilikua ndogo, pia kumbuka battery ya simu inashuka ubora kadr inavyotumika, wengi wanaonunua samsung wakiwa wanalalamikia battery ujue huyo kanunua Ikiwa refurb au mtumba kwaio hata battery health inakua ipo chini sanaa.

Na kwa sasa samsung ndio anaongoza kwa battery imara per usage, battery zao zinashuka kwa 2.5% kwa mwaka while kampuni nyingne nyingi ni 5%.

Ili uinjoy simu yako Chukua simu yenye battery angalau 3500mah IKIWA MPYA.

Lkn km hio simu ni flagshipe/high end kwa battery hio tarajia disappointment.
Sbb flagship nyingi zinakua na processor yenye uwezo mkubwa(hapa nazungumzia speed), refresh rate kubwa vitu ambavyo vina drain battery sanaa..
Ndio maana S20 ultra leo ana 5000mAh lkn ukaaji wake wa charge hauendani na battery kubwa kiasi hicho.

Wanaolia samsung hazikai na charge, wengi wananunua mtumba na refurb boss.

Bettry za samsung ni utopolo mtupu
Yani kuanzia charging port
Spika
Ni utopolo mtupu
 
Oooh inakaa masaa 24 data on 🧐
Wote mliosema hivo 80% mnawashaga data on afu sio watumiaji kivile yani unaweza washa data uka kaa lisaa lizima usiingia hata facebook
Au unawasha data unaingia mesenja unajibu ka text unatoka unatia cm mfukoni

Kwa kawaida yani hile hevy use cm ikijitaid masaa 12 labda mpaka 14

Hevy use hapa nazungumzia gaming, instagram yakutosha , youtube kwa sana nk. Yani unakomaa na cm


mtoa mada nae hajaeleweka anataka cm ya kazi gani maana sahivi kuna gaming phone na hizi smartphone
 
Oooh inakaa masaa 24 data on
Wote mliosema hivo 80% mnawashaga data on afu sio watumiaji kivile yani unaweza washa data uka kaa lisaa lizima usiingia hata facebook
Au unawasha data unaingia mesenja unajibu ka text unatoka unatia cm mfukoni

Kwa kawaida yani hile hevy use cm ikijitaid masaa 12 labda mpaka 14

Hevy use hapa nazungumzia gaming, instagram yakutosha , youtube kwa sana nk. Yani unakomaa na cm


mtoa mada nae hajaeleweka anataka cm ya kazi gani maana sahivi kuna gaming phone na hizi smartphone
mpwa yangu kiboko mpaka saa tisa nipo kwa hewa lakini ngoma imefikia asilimia 81% OPPO A3S single line .. INTERNAL STORAGE 16GB ,RAM 2GB, PROCESSOR -U
QUALCOMM SNAPDRAGON 450 .
Screenshot_2020-04-10-02-55-41-65.jpg


Sent using JOppo A3s
 
Back
Top Bottom