Share Coke, Dhihaka kwa Mwanaume

Share Coke, Dhihaka kwa Mwanaume

Unywe.....ukimaliza tuje hili la Tigo......kuwekana kwenye grp za whatsapp kiduanzi.......
noma sana..siku ya wapendao nimekuta wife anakunywa Coke baridi imeandikwa " ILove You"
 
Msichukulie kila kitu serious wakuu

Ile ya coka kuweka majina na ujumbe kwenye zile chupa ilikua ni best marketing strategic eveeer

Tangazo si maisha soko huria la ushindani sijaona kudhalilishwa kwa aina yote maana mimi sio tangazo na tangazo haliwezi kua mimi


Tangazo lazima liwe na Uhusiano na kinachotendeka ktk Jamii..
 
Unywe.....ukimaliza tuje hili la Tigo......kuwekana kwenye grp za whatsapp kiduanzi.......


Haaaaaahhhh.....


Ngoja nitafute Mwanasheria kama hawa hawana kesi ya Kujibu Kweli.
 
Mimi nlijua umenunua soda halafu imeandikwa Share a Coke with RAILA ,
 
Habari za muda huu wanabodi.

Hili Tangzo la Coke linashusha utu wa mwanaume na ni thihaka kwa mwanaume.... Mwanaume hazumzi kwa vitendo.. Mwanaume haogopi kueleza hisia zake.


Mfano:

1. Lile tangazo la Jamaa anataka kudansi na mwanamke... Anatumia Coke ili kufikisha ujumbe... Hii ni dharau kwa wanaume


2. Lingine ni lile jamaa wamezinguana na mwanamke.. Anaamua kutumia Coke ili kufikisha ujumbe... Hii ni kuonyesha kuwa wanaume hatuna uwezo wa kuongea....




Tuungane kukemea huu udhalilishaji wa mwanaume



Mzee!
Una uhakika wa kuwa sisi ni "Wanabodi" kama ulivyotuita?
 
wabongo tunajua kukosoa(wazee wakuponda), niwakosoaji wazuri yani kila mmoja ni mtaalam aliye bobea kwa asili, nadhani hii ndo sababu asilimia kubwa tunakua na uoga wa kuthubutu.
Mfano ukienda kwenye vijiwe vya kahawa, haijalishi mada itakua inahusu nini hapo sisi kaziyetu kuponda+chumvi kwa wingi then mtu anaonekana mjuaji watu wanaanza kumsikiliza kama mtuwabusara vile.
btw tumekua wanaume wakwanza ulimwenguni kugundua coca imetudhalilisha hongera zetu.
 
Habari za muda huu wanabodi.

Hili Tangzo la Coke linashusha utu wa mwanaume na ni thihaka kwa mwanaume.... Mwanaume hazumzi kwa vitendo.. Mwanaume haogopi kueleza hisia zake.


Mfano:

1. Lile tangazo la Jamaa anataka kudansi na mwanamke... Anatumia Coke ili kufikisha ujumbe... Hii ni dharau kwa wanaume


2. Lingine ni lile jamaa wamezinguana na mwanamke.. Anaamua kutumia Coke ili kufikisha ujumbe... Hii ni kuonyesha kuwa wanaume hatuna uwezo wa kuongea....




Tuungane kukemea huu udhalilishaji wa mwanaume



Mzee!
Wewe Mzee haya ya vijana yanakuhusu nini? Hivi mpaka sasa hivi hujajua kama vijana wa kileo ni midomo zege? "Anyways have nice lunch" kijana kamaliza hapo!
 
Wewe Mzee haya ya vijana yanakuhusu nini? Hivi mpaka sasa hivi hujajua kama vijana wa kileo ni midomo zege? "Anyways have nice lunch" kijana kamaliza hapo!


Akasaidiwa na Coke kufikisha hisia zake.



Kwanini sio mwanamke atumie Coke kufikisha Ujumbe kwakuwa wao ndio wanakuwa na aibu ktk kueleza hisia zao.


Hili ni Janga.
 
Wewe Mzee haya ya vijana yanakuhusu nini? Hivi mpaka sasa hivi hujajua kama vijana wa kileo ni midomo zege? "Anyways have nice lunch" kijana kamaliza hapo!

Hilo ni Janga.
 
umenikumbusha mashindano ya kombe la dunia mwaka 98 kama sikosei kulikuwa na mchezaji wa timu ya west afrika anaitwa mboo na uwanja mmojawapo uliokuwa ukitumika kwa mashindano hayo huko japan ukawa unaitwa kum...moto. Sasa gazeti moja la michezo hapa nchini likaja na kichwa cha habari mboo ndani ya kum...moto leo hii!
 
Back
Top Bottom