Shangwe na furaha yatanda Gaza baada ya pande mbili kukubaliana kutuliza mapigano

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Hakika ni shangwe iliyojaafuraha kwa upande wa Palestina huko Gaza, Kinachosherekewa hapa ni "Thanks to God, some of us are still alive"


Wananchi wa Gaza waliishi kwa hofu sana maana kifo kilikuwa nje nje pale maisha yao yalipofanywa kuwa ngao, Hamas waligeuza mitaa na nyumba zenye raia wema kuwa sehemu za kufyatulia makombora, kutunza silaha, kuchimba mahandaki, n.k

Ushahidi upo wa kutosha kwamba misikiri, hospitali, shule za watoto, n.k ziliheuzwa kuwa sehemu za mahandaki yaliyotumika kufichia silaha, Israel ili kulinda raia wake ilipokuwa ikizijua hizo sehemu ilikuwa inazitandika ila kwa hesabu za hali ya juu na kutoa tahadhari mapema ili kujaribu kwa kiasi kikbwa kunusuru maisha ya raia wema.

Ni furaha tele kwa upande wa Palestina maana wao hawana mitambo kama ya Israel ambayo hukabiliana na makombora yanayotoka Gaza juu kwa juu, Katika kila makombora 10 bas 9 hudakwa na huo mtambo (Iron Dome) Hii ilipelekea Hamas kurusha Makombora zaidi ya elf 4, Sipati picha bila huu mtambo hali ingekuwaje.

Mbali na mtambo huo Palestina hawakuwa na hifadhi za kukimbilia kukwepa madhara ya mabmu kama walizokimbilia israel.

Hakika ni shangwe kwa upande wa Palestina maana kifo kilikuwa nje nje.

iKUMBUKWE KUWA ALIEKUWA ANAPIGANA VITA NI HAMAS, ISRAEL ALIKUWA ANATULIZA GHASIA
 
Post imekaa kishabiki
Nenda huko Gaza mkuu ndo utajua furaha waliyonayo watu wa Gaza, Yani gaidi anafyatua maombora nyumba ya pili hivi utaishi kwa amani kweli?? Yani anakufanya wewe uwe ngao ili Israel wakija wakiona kuna raia wema kama wewe inabidi wate tahadhari kabisa kukupa mda wa kuondoka ili watndike hiyo mitambo ya magaidi,
 
Mbona hujaripoti kwa upande wa pili wameuchukuliaje huu uamuzi?
Lengo lao la kurjesha amani limetimia, Lengo lao limkamilika maana wao wanachotaka ni amani, Ila pia wamepata pigo kwa kupoteza aisha ya watu 12, Kwa upande wa Gaza magaidi wamefanya watu 232 kupoteza maisha kwa mambo yao ya kufanya raia kuwa ngao.
 
Lengo lao la kurjesha amani limetimia, Lengo lao limkamilika maana wao wanachotaka ni amani, Ila pia wamepata pigo kwa kupoteza aisha ya watu 12, Kwa upande wa Gaza magaidi wamefanya watu 232 kupoteza maisha kwa mambo yao ya kufanya raia kuwa ngao.
Wingi wa 232 kwa 12 si hoja zote ni roho za binadamu na nina imani hata hao 12 waliopoteza ndugu zao imewaumiza. Sasa sijakuelewa" logically " kama hii imekuingia akilini.
 
Wingi wa 232 kwa 12 si hoja zote ni roho za binadamu na nina imani hata hao 12 waliopoteza ndugu zao imewaumiza. Sasa sijakuelewa" logically " kama hii imekuingia akilini.
Kila mtu kaumia kasoro magaidi wa Palestina, Kiukweli Magaidi ni shida sana, Hutumia maisha ya raia wema kama ngao kitu ambacho si kizuri, Yote kwa yote bora amani imerudi
 
Hakika ni shangwe iliyojaafuraha kwa upande wa Palestina huko Gaza, Kinachosherekewa hapa ni "Thanks to God, some of us are still alive"


Wananchi wa Gaza waliishi kwa hofu sana maana kifo kilikuwa nje nje pale maisha yao yalipofanywa kuwa ngao, Hamas waligeuza mitaa na nyumba zenye raia wema kuwa sehemu za kufyatulia makombora, kutunza silaha, kuchimba mahandaki, n.k

Ushahidi upo wa kutosha kwamba misikiri, hospitali, shule za watoto, n.k ziliheuzwa kuwa sehemu za mahandaki yaliyotumika kufichia silaha, Israel ili kulinda raia wake ilipokuwa ikizijua hizo sehemu ilikuwa inazitandika ila kwa hesabu za hali ya juu na kutoa tahadhari mapema ili kujaribu kwa kiasi kikbwa kunusuru maisha ya raia wema.

Ni furaha tele kwa upande wa Palestina maana wao hawana mitambo kama ya Israel ambayo hukabiliana na makombora yanayotoka Gaza juu kwa juu, Katika kila makombora 10 bas 9 hudakwa na huo mtambo (Iron Dome) Hii ilipelekea Hamas kurusha Makombora zaidi ya elf 4, Sipati picha bila huu mtambo hali ingekuwaje.

Mbali na mtambo huo Palestina hawakuwa na hifadhi za kukimbilia kukwepa madhara ya mabmu kama walizokimbilia israel.

Hakika ni shangwe kwa upande wa Palestina maana kifo kilikuwa nje nje.

iKUMBUKWE KUWA ALIEKUWA ANAPIGANA VITA NI HAMAS, ISRAEL ALIKUWA ANATULIZA GHASIA
Baada ya Mpango wa Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hamas kufanikiwa chini ya upatanishi wa Misri,kuna vurugu mpya Zimeibuka kati ya Polisi wa Israel na Waandamanaji wa Kipalestina.

Hiyo inakuja ikiwa kila upande ukidai kushinda vita hivyo. Kundi la Hamas limewataka raia wote wa Palestina kuitumia siku ya leo ya Ijumaa kusherehekea ushindi huo.

Kuanzia Mitaa ya Gaza Mpaka mji unaozozaniwa wa Jerusalemu Mashariki,wapalestina wamekuwa wakipiga kelele za MUNGU MKUBWA huku wakielekea kwenye Msikiti wa AL-AQSA.

Wakati huohuo,vyombo vikuu vya habari nchini Iran Kama IRNA vimedai Wapiganaji wa Hamas wameyashinda majeshi dhalimu ya Utawala haramu wa Wazayuni. Iran imedai itaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi madhulumu wa Kipalestina mpaka pale watakapo fanikiwa kuufutilia mbali Utawala dhalimu na haramu wa Wazayuni.

SOURCE : Dwswahili leo Jioni.


EWE MTANZANIA MZALENDO,SHIRIKI KATIKA SHINIKIZO LA KUWATAKA WATAWALA WA NCHI HII KULETA MCHAKATO WA KATIBA MPYA YENYE UHURU NA UWAJIBIKAJI KWA RAIA NA VIONGOZI DHALIMU.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Erdan shows photo of weapons on Temple Mount
Courtesy

Is this the way to treat a sensitive holy site? Who undermined the holiness of this site? The police that worked to restore order and to quickly reopen the site for prayers? Or the rioters who repeatedly launched violent attacks?

You all know, and even the Palestinian representative here today knows, that Hamas’s premeditated assault had nothing to do with any Israeli action.

This was all the result of Hamas's frustration with President Abbas' decision to cancel the elections and its desire to increase its political influence in East Jerusalem and the West Bank. Hamas seeks to replace the Palestinian Authority, and take control of the Palestinian territories.

So, after the elections were canceled, it decided to launch a war of aggression against Israel. Suddenly, Hamas leader Muhammad Deif, who has been silent for years, was threatening Israel would pay a heavy price if an Israeli court went ahead and ruled on a property dispute in Jerusalem.

Have you asked yourselves why the Hamas leadership in Gaza would be commenting on a legal dispute in Jerusalem that has been going on for years?

This was all a part of Hamas's strategy to gain political power.

You all know that Israel did everything to deescalate the situation. Our efforts were met with rockets on Jerusalem, rockets on our capital. You cannot fire at our capital and then pretend you want a ceasefire. Israel wants a ceasefire, but only after significantly degrading Hamas's terror machine.

We are looking for a cure and not a band-aid. And yet, you have once again been calling on Israel to exercise restraint when facing hundreds of indiscriminate attacks every day.

Let me ask you a question: What would you do if it was you? If it was your civilians under fire? If it was your family running to the bomb shelters? How would you want the international community to respond?

Would you be responding differently if Jihadi terrorists were firing thousands of rockets at Istanbul or Tripoli? Think about it. Would you be calling on both side to show restraint if rockets were destroying homes in Copenhagen or Paris? I don’t think so.

The hypocrisy in this institution knows no boundaries.

I will tell you what you wouldn’t do - you wouldn’t accept attempts by the General Assembly to make the immoral comparison between a state which sanctifies life, and a terrorist group which glorifies death.

Despite the hypocrisy and institutional bias here at the UN, and the acquiescence to Hamas's actions, an organization, which may I remind you, celebrated the terror attacks of 9/11 and mourned the death of Bin Laden, the State of Israel will take all steps necessary to protect its civilians, while making every effort to avoid harming Palestinian civilians.

I thank all of the countries that have expressed their support for Israel’s right to self-defense, first and foremost, President Biden and the American administration.

Mr. President, just as Israel will always defend our civilians against terror, we will always work to advance peace.

Just this year we signed four peace agreements with Muslim countries. We are so proud of it.

We made painful concessions for peace with Egypt and Jordan, and six Israeli prime ministers were ready to make painful concessions in the past to reach peace with the Palestinians.

In 2005, we uprooted and removed every Jewish home in the Gaza Strip, because some thought that it would bring calm. Instead, ever since Hamas seized power over the Gaza Strip we have experienced unending terror.

In 2007, when Hamas violently took control over the Gaza Strip, its militants threw their Palestinian brothers – Fatah members – off rooftops, and cheered as the bodies fell.

I hope today that you do not choose to throw the chances for peace from the rooftop, and pat yourselves on the back as extremism triumphs.

Hamas does not accept Israel's right to exist, it refuses to renounce violence and refuses to acknowledge past agreements – the quartets three principles. There should be no mistake: if this institution strengthens Hamas, it will make the possibility of Hamas replacing the PA much more likely and eliminate the chance of future dialogue between Israelis and Palestinians.

There is nothing to discuss with a terror organization committed to your annihilation. Nothing. So, don’t say we didn’t warn you.

Mr. President, the demonization of Israel in the international arena, spurred on by members of this assembly such as Turkey who are using antisemitic tropes, is encouraging sickening antisemitic attacks all around the world.

The Turkish leadership is in no position to preach to Israel, or anyone else, about human rights or the military harming innocent civilians.

The State of Israel will never stay silent in the face of such antisemitic attacks.

Never has there been a clearer example of the fact that anti-Zionism is antisemitism.

So today, we call on all governments to take swift and effective action to protect their Jewish communities, apprehend the perpetrators, and ensure that Jewish citizens everywhere can live proud and open Jewish lives.

Mr. President, in the face of those here who have chosen the values of the Hamas Charter over the values of the UN Charter, I stand here as a proud representative of the State of Israel.

The State founded upon the 4000-year old connection between the Land of Israel and the Jewish People. The State, which rose from the ashes of the Holocaust to ensure that the Jewish People will never be defenseless.

I stand here and declare: never again.

The State of Israel will always do whatever is necessary to defend our people and we will do so while continuing to protect human lives and aspiring to peace with all of our neighbors.

Thank you, Mr. President.

Gilad Erdan is Israel's Ambassador to the US and the UN
 
Wanasherekea ushindi na sio ghaza tu mpaka jerusalimu mashariki acha kupindisha habari
img_2_1621589169945.jpg
 
Back
Top Bottom