kwa hyo akina mbowe ni na wanachama wote wa chadema ni mbwa? Jaribu kuwa mstaraabu, alafu usilinganishe mambo ya mungu na kejeli kama hizi ulizoandika hapaBora amerudisha gari letu. Hakustahili kupewa, nadhani ametambua hilo.Maandiko yanasema: huwezi kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa.