shamrashamra arumeru-polisi wanakimbia wananchi

shamrashamra arumeru-polisi wanakimbia wananchi

Hayo maandamano yana kibali?
Polisi wasije wakapata sababu tuu.
 
ni kweli jamaa kachanganyikiwa hajui atendalo.pole wee.cdm kibelaaaaaaaaaaaaa
 
Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira

Mwalimu wako alipata taabu sana. hebu nitofautishie, mandhari ya mawio ya jua na machweo yake pasipokuwa na mawingu!
 
Kimepoteza dira ehheee ebu subiri 2015 utajua kama kimepoteza dira ua sio suala la watu wa mikoa fulani kuzinduka kabla ya watu wa mikoa mingine si suala la ukabila ni suala la uelewa tu. huko kwingine wakiambiwa mafisadi wanawakwibia wanasema tutakufa na ssm unafikiri utawalazimisha ili ionekane hakina ukabila? Huo ni ujinga ulio komaa
 
muda unavyozidi kwenda ndivyo hali ya furaha inavyozidi kuongezeka.
Hapa maeneo ya usa mpaka tengeru kuna maandamano makubwa sana.gari moja la polisi limeshindwa kupita na hivyo kugeuza haraka na kukimbia baada ya vijana kuanza kuwatishia polisi.

Tunaombeni msiwapige maana hao ni masikini kama sisi ila tofauti ni kwamba wao hawajui walitendalo.... Nadhani ile message ya Mwigamba imewaingia kwenye ile makala yake ya siku zile......

Na nafikiri hii imechangia sana CDM kupata ushindi huo wa Arumeru.... Tunatamani sana chaguzi ndigo ziendelee....
 
tanzania haiwezi kuendelea kwa chaguzi za namna hii. Poleni sana watz.
 
CDM sasa ijipange vyema kwa uchaguzi wa 2015. Dalili ni njema. Asante sana Arumeru Mashariki kwa kusaficha njia. Wazee na vijana wa Arumeru - Big up!!
 
Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira

naona hata sera huzipendi ila unatafuta pa kutokea tu maana cdm ndio haooo hawakamatiki tena, unaposema ubinafsi, udini na ukabila unatumia vigezo gani, acha kuchafua hali ya hewa bwana, acha watu washerekee ushindi wao..., ila fujo hatutaki, vijana msitishe polisi, acheni wapite waende zao
 
Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira
Justify your statement plz! Hebu tueleze watu wa dini ipi wamezuiwa kujiunga? kabila gani limekataliwa kujiunga? Nafikiri ni wakati sasa watu badala ya kulalamika jiungeni makabila na dini mbalimbali msipojiunga sasa wengine wanajiunga sioni haja ya kulalamika kama milango iko wazi
 
Hayo maandamano yana kibali?Polisi wasije wakapata sababu tuu.
Maandamano ya kusheherekea ushindi huwa yanahitaji kibali!? La hasha sizani kama kibali katika hili chahitajika it goes without saying jana ulifanyika uchaguzi mshindi kapatikana washindi na washindwa wanaonyesha hisia zao baada ya matokeo kutoka! Freedom of expression! Do we need Police permit in order to express ourselves!?
 
Kaka thibitisha kwa mifano halisi huo udini (not feelings), ukabila (with good analysis) na ubinafsi (kwa vigezo vya ubanafsi). Ni vema kutoa angalizo, lakini wakati huo huo inakuwa vema zaidi kama unaweza kuleta hoja, na ukatoa mbadala ya kuondoa hayo mapungufu.
Sera za chadema nazipenda sana lkn kinaniboa zaidi ktk suala zima la ubinafsi udini na ukabila, wala hakuna ubishi chama hiki kitapoteza dira
 
kwa mara nyingine genge la MAFISADI limewekwa chini ya uvungu huka ARUMERU MASHARIKI pongezi kwa wana arumeru wote mmempata mbunge shirikianeni naye kwa maendeleo yenu na muwe kundi moja na mbunge mmoja atakaye saidiana na madiwani wa kata zote 17 bila kujali wanatoka chama gani maendeleo kwa wananchi wote wa jimbo la Arumeru mashariki tubadilike kwa MAENDELEO ya WANANHI WOTE naomba mbunge baada ya uchaguzi kwisha unganisha jimbo kama ulivyoahidi maratu baada yakutangazwa MSHINDI
 
Back
Top Bottom