SHAME!!: Cuban Doctors to help Dar in fight Jangwani Mosquitoes!!!

Come on, Vitu vingi tunaweza:

1. Begging
2. Corruption
3. Incompetence
4. Talking (we are the champions at talking with no action)
...

Kila mwaka tunaanzisha political slogan mpya....yaani we acha tu
 
mimi nafkiri hawa ni wataalamu wa kutokomeza mbu kabisaa! kuna baadhi ya nchi za pacific asia kulikuwa na malaria lakini sasa imetokomezwa kabisa.. labda hawa wataalamu walifanikiwa huko kwao CUBA! ndio maana wanataka kuja kujaribu huku kwetu! NAOMBA TUTUE USHIRIKIANO TU!

Labda kweli hawa ni wataalamu...sisi ni wataalamu wa nini sasa? Kutunga mashairi ya kisiasa?? Hii ni karne ya 21. Kama tunapenda kuendelea kujipa moyo au kudanganyana we are in for it. Tuandae macho ya kujililia wenyewe. Maendeleo ya nchi hii hayawezio kuletwa na hii misaada uchwara tunayoomba dunia nzima kila siku kama hatuna vichwa vya kufikiri.
Hivi unajua kuwa kwa mfano korosho inalimwa Mtwara, inapelekwa India ikiwa bado raw, na kurudishwa sokoni Tanzania ikiwa tayari imebanguliwa? Na hilo nalo pia hatuna utaalamu au ni basi tu vichwa vyetu vimewehuka!!!
 


Mbona suluhisho la tatizo hili ni dogo sana.

Fungeni kiwanda cha Tanzania Breweries Limited, tatizo la mbu Muhimbili litakoma.

Na hao wanahisa wa TBL na walaji wa maji ya dhahabu hawawezi kukupenda Majimoto.
 
Nadhani hiyo ni kazi ya Wanasayansi sio Drs.kwani Drs wataitwa kutibu malaria lakini watafiti kuhusu namna ya kuwaangamiza mbu ni wanasayansi wanahitajika.
JK atajizolea kula kwa watanganyika kwa jambo hilo si atawambia ameleta wataalamu kutoka Cuba watu makofi..
 
By Felister Peter,
The Guardian

CUBAN medical experts are expected in the country next week to help fight the increased mosquito population at Jangwani Valley and Msimbazi creek in Dar es salaam.
The Chief Medical Officer, Dr Deo Mtasiwa told journalist in Dar es salaamyesterday...

What a shame for the medical proffession!!
Muhimbili has the biggest concentration of Phd holders in the United Republic and they cant solve a simple drainage problem.

This is alarming , even seemingly hounarable proffessions like this medical field prefer to rest their brains instead of putting themselves to useful research and problem solving in this minor problem.

Inaonyesha sisi watanzania tuhitaji Reality check....Largest concentration of Phd with respect to what? je na hizo Phd za nini? hebu angalia kama kwente PubMed au sehemu nyengine yeyote na uone Muhimbili ina publish pulication ngapi kwa mwaka? naona jibu utakalolipata unaweza kulia au litakuamsha kwenye usingizi...Hivi kweli ni aibu kwa kiwete kutoweza kukimbia au kipofu kutoweza kuona?
 
Ni nani huyo aliyetoa wazo la kuomba AU kuamua kufunga safari kwenda hadi Cuba kwa msaada?
Unaweza kukuta jiji na muhimbili hawana mawasiliano yoyote ya kitaalamu AU kuna mtu wa jiji alikuwa analazimisha kasafari ka nje apate vidola!
 
Inaonyesha sisi watanzania tuhitaji Reality check....Largest concentration of Phd with respect to what? je na hizo Phd za nini? hebu angalia kama kwente PubMed au sehemu nyengine yeyote na uone Muhimbili ina publish pulication ngapi kwa mwaka? naona jibu utakalolipata unaweza kulia au litakuamsha kwenye usingizi...Hivi kweli ni aibu kwa kiwete kutoweza kukimbia au kipofu kutoweza kuona?
Mkuu kwa vyovyote vile hii inaonyesha umakini wa waajiriwa serikalini na wanavyo wajibika kitaalam.Mtu akiwa na PhD lazima awe na uwezo mpana wa kutatua matatizo ama sivyo hayo mafanikio yatakuwa sanasana ya kuweka ukutani ili wageni waone vyeti tu.
Kama nilivyo eleza awali haihitaji akili sana kutatua matatizo ya Msimbazi, ni watu kukosa guts na moyo wa kufanya kazi.
Huwa najiuliza mashangingi yanayfukuzana kuelekea kazini asubuhi wananenda kufanya nini sijui.
 
Na katibu mkuu wa Wizara ya Afya bi BLANDINA NYONI doesnt seem to care. Anachokifanya ni kumsumbua JK ampe uwaziri kwenye next cabinet na kufanya maugomvi na Dr Mwele
 
Back
Top Bottom