Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Katika kuonyesha kweli mke wa mtu mtamu
jana nimesoma gazeti moja la michezo mchezaji wa timu ya taifa ya tanzania ambao tff wanagarimu kumlipia tiketi athuman machupa anatembea na mke wa shamte ally mchazeji kiungo wa yanga
shamte alipofwata alisema ni kweli bana nilikuta simu ya mke wangu nyuma kuna laini nyingine nilipoweka nikakuta msg 40 za machupa nyingine akiwa sweden nikapiga na namba nyingine aliposikia sauti yangu akakata kwa kweli namsubiri haya mambo tuyamalize kama unavyoona katuma msg ati aniache sina kitu atamuoa wao wanaruhusiwa wake wanne kwa kweli sijamuelewa nahisi umalaya na vijisenti vidogo vinamsumbua
mke wa shamte alipoulizwa alisema nyie si kaawambia amezikamata aafwatilie basi asitake kuntibua
ndoa nzuri tena shubiri hawa ni wachezaji wa kutumainiwa kabisa wakitiana aibu hivi loh
jana nimesoma gazeti moja la michezo mchezaji wa timu ya taifa ya tanzania ambao tff wanagarimu kumlipia tiketi athuman machupa anatembea na mke wa shamte ally mchazeji kiungo wa yanga
shamte alipofwata alisema ni kweli bana nilikuta simu ya mke wangu nyuma kuna laini nyingine nilipoweka nikakuta msg 40 za machupa nyingine akiwa sweden nikapiga na namba nyingine aliposikia sauti yangu akakata kwa kweli namsubiri haya mambo tuyamalize kama unavyoona katuma msg ati aniache sina kitu atamuoa wao wanaruhusiwa wake wanne kwa kweli sijamuelewa nahisi umalaya na vijisenti vidogo vinamsumbua
mke wa shamte alipoulizwa alisema nyie si kaawambia amezikamata aafwatilie basi asitake kuntibua
ndoa nzuri tena shubiri hawa ni wachezaji wa kutumainiwa kabisa wakitiana aibu hivi loh