February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
inamaana Iraq,Syria na umoja wa dola za kiislam umeshindwa kupambana na ISIS na Al qaeda?Afrika bado sana. Ina maana serikali ya nigeria, umoja wa kijeshi wa Afrika Magharibi, na umoja wa africa wote wameshindwa kupambana na kuwadhibiti hao boko haram? Inashangaza sana.
Inasikitisha sana