shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
raha ya maelezo nusunusu ni kuibua maswali yasiyo na ulazima!
inashindikana vipi mtu kuweka detail/taarif za kutosha ili mnunuzi afanye uamuzi mmoja na si kulazimishana kupiga simu na kuambiana tukutane tu hatutashindwana
hutaweza kuliuza lote mkubwa nakupa taarifa pokea hata wateja wa namna hy pengine hata bei mpk unaliuza lote waweza ambulia zaidi ya ml 100,fanya biashara kaka ww vp???
...Mkuu, Tondoroni zipo Ekari 20 na kila Ekari ni shilingi Milioni 5 lakini kipimo cha chini kabisa unachoweza kununua ni Ekari 4. Ni shamba. Hati utatengeneza Mwenyewe. Kwa maelezo zaidi 0754 340606