Shamba linakodishwa

Shamba linakodishwa

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,457
Reaction score
699
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri pia kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, nk. maana maji ya yapo mengi.
Njoo uone upange bei, pia kama unataka kununua tutaongea.
Kwa muhitaji tuu piga 0715274727 - Xhevior
 
Shamba la ukubwa wa hekta 2.5 likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped) wanaoweza kufika elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk. Eneo la shamba lipo madale - kisauke
Kwa muhitaji piga 0715274727 - Papaah
Watanzania lazima tumerogwa, kama unashindwa hata kusema shamba lipo mkoa gani unategemea nini?
 
Shamba la ukubwa wa hekta 2.5 likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped) wanaoweza kufika elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk.
Eneo la shamba lipo Dar - madale - kisauke
Bei 2.5 million kwa mwaka (negotiable)

Kwa muhitaji piga 0715274727 - Papaah
Kwa hiyo kila Hekta 1 unaikodisha kwa Tshs 1Mil??
 
Shamba la ukubwa wa hekta 2.5 likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped with water drinkers) wanaoweza kufika elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk.
Eneo la shamba lipo Dar - madale - kisauke

Kwa muhitaji piga 0715274727 - Papaah
Mkuu ni hecta au ekari au mimi ndo sijaelewa
 
Shamba la ukubwa wa hekta 2.5 likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped with water drinkers) wanaoweza kufika elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk.
Eneo la shamba lipo Dar - madale - kisauke

Kwa muhitaji piga 0715274727 - Papaah
Hupokei simu mbona au ulikuwa unatutega
 
Back
Top Bottom