Kwa utendaji mzuri huu hata angelipwa billioni 100 kwa mwaka sawa tuUna mshukuru huyu rais aliesema analipwa million 9 kumbe million 442 kwa mwaka.
Viongozi wengi sana walijitwalia Mashamba, au wanaanza kwanza na Sumaye kama alivyosema wanaanza kwanza na Mbowe japo wapo wengi, lakini mpaka leo sijasikia yoyote mkubwa akitolewa vitu vyake National Housing. We need to think big.
ndo nini hapa tena.
What goes around, comes around.
Wanafanya hivyo kwa Sumaye na wengine wanaofanana naye kwa sbb hawapo upande wao.
Siku na wakati utakapofika na wao watakapokuwa upande wa Sumaye, naamini kwa precedence hii wanayoiweka, watakuja kulia na kusaga meno!!
Yes, yaweza kuwa si wao maana watakuwa wamezeeka na kufa. Lakini watoto wao na watoto wa watoto wao watakuja kulia na kusaga meno kwa dhambi za baba na babu zao!!
ONYO:
Uongozi wa visasi ni hatari sana na siku zote visasi vina tabia ya ku - chain na kamwe havisahauliki hata baada ya kizazi cha sita au cha kumi!!
Ni vyema viongozi wakatenda HAKI kwa kila mtu na kwa kuanzia kwa familia na nafsi zao wenyewe maana HAKI ni tunda la AMANI kwa vizazi vyote vilivyopo na vijavyo!
kwani ukiwa upinzani ndio unakuwa juu ya sheria ?->kisa yupo upinzani/ poor poor poor/ don't do that make a compromise first followed with warning letters on developing the area.//
Ba a a, mbona hapa mwenzenu 'sipaelewi elewi' tu u!Viongozi wengi sana walijitwalia Mashamba, au wanaanza kwanza na Sumaye kama alivyosema wanaanza kwanza na Mbowe japo wapo wengi, lakini mpaka leo sijasikia yoyote mkubwa akitolewa vitu vyake National Housing. We need to think big.
M m m! Huyu hapana.Naunga mkono hoja Tuendelee mpaka kwa Ben Yale mashamba ya miwa mtibwa na kagera
Nasikia na mzee anayo mahala mahala bado kidogo tu serikali itayatwaa kwa faida ya nchi badala ya faida ya mwananchi.Ni Sumaye tu hakuna mwingine?
Hayo si yameendelezwa! Haya ya Sumaye ni mashamba pori. Ameyahodhi kufanya speculation ambayo imepigwa marufuku na sheria ya ardhiNaunga mkono hoja Tuendelee mpaka kwa Ben Yale mashamba ya miwa mtibwa na kagera
Wewe usiyefatilia habari ndio unaona la sumaye tuu ndio limepea notisi...kila leo mashamba mengi yanafutiwa umiliki wake fatiliaHivi serikali imeliona Shamba la Sumaye tu kule Mabwepande? Mbona kuna watu wana maeneo makubwa wamepima viwanja havijaendelezwa ni mapori wanasubiri kuviuza lakini hawanyang'anywi Kwa kuwa wako CCM?
Lile pori hatari mkuu kabeba karibia kijiji kizima. Watu wana dhambi sana wamemuona mtu mwenye ekari 30 na kuangaika nae na wakamuacha mwenye shamba sawa na kijiji kizima na hakuna anachokiendeleza.Naunga mkono hoja Tuendelee mpaka kwa Ben Yale mashamba ya miwa mtibwa na kagera