Shamba bado lipo those interested and those who called what happened to you
Tatizo usafiri tu
patafaa kulima lile zao la bobu marley?
Rejea kichwa cha habari shamba lenye ukubwa wa hekari 14 LINAUZWA maeneo ya Kisaki.
Ni zuri Kwa shughuli Za umwagiliaji na unaweza kufanya KILIMO mwaka mzima,hakuna season wewe ni kufanya crop rotation mpaka unachoka
Mazao Kama UFUTA,Vitunguu,Nyanya n.k ndo mahali
Bei ni Laki Tatu Kwa heka (300000/=)View attachment 155617
Mkuu usisahau pia....kuna tembo wakubwa kama nyumba!!
0758 303090Rejea kichwa cha habari shamba lenye ukubwa wa hekari 14 LINAUZWA maeneo ya Kisaki.
Ni zuri Kwa shughuli Za umwagiliaji na unaweza kufanya KILIMO mwaka mzima,hakuna season wewe ni kufanya crop rotation mpaka unachoka
Mazao Kama UFUTA,Vitunguu,Nyanya n.k ndo mahali
Bei ni Laki Tatu Kwa heka (300000/=mkuu naomba namba zako 2wasiliane