Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Hahahaaa!View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Duh 🙄 labda Ukraine & Belarus 😂😂😂View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Ni kweli lazima Nchi tati zimgombanie ,yaani Shaka alikuwa chini ya uchunguzi kwa kuuza kiti cha meya manispaa ya MOROGORO,Leo unafikili asemeje?View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Kama huyo Mashaka ana huo utoto, na ndo mwenezi wa mataga, basi!View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Nchi hizo ni: Unguja, Pemba na Zanzibar.View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Ni zipi hizo nchi? Mbona Tanzania tungefurahi sana kuwapa Rais wetu akamalizie muda wake kufikia 2025, halafu wamuongezee mingine mitano ambayo kikatiba ana haki ya kugombea hapa Tanzania mpaka kufikia 2030. Sisi tuchague mwingine na kuanza upya alipoachia mtangulizi wake. Hii itakuwa fursa nzuri kwetu kulinganisha tuliyojionea kwa mtangulizi na wa sasa. Hiyo itatupa dira nzuri ya kufuata.View attachment 2224499
Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!
Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.