Shaka: Nchi tatu zinajadili ili Samia awe Rais wao

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
veronica__france~p~CdXs-HXq3kC~1.jpg


Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!

Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
 
View attachment 2224499

Hiyo ndiyo habari inayoenea kwa kasi zaidi kwa sasa hapa Duniani!

Kwa mujibu wa Shaka Nchi zaidi ya tatu zinamtaka Samia awe Rais wao.
Ni zipi hizo nchi? Mbona Tanzania tungefurahi sana kuwapa Rais wetu akamalizie muda wake kufikia 2025, halafu wamuongezee mingine mitano ambayo kikatiba ana haki ya kugombea hapa Tanzania mpaka kufikia 2030. Sisi tuchague mwingine na kuanza upya alipoachia mtangulizi wake. Hii itakuwa fursa nzuri kwetu kulinganisha tuliyojionea kwa mtangulizi na wa sasa. Hiyo itatupa dira nzuri ya kufuata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom