Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,172
Chama Cha Mapinduzi kuzindua rasmi kampeni zake za Uchaguzi mdogo jimbo la Ngorongoro trh 26|11|2021 katika Viwanja vya Malambo kata Sale.
Kampeni hizo zitazinduliwa na Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi "Simba wa Vita " Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Viongozi mbalimbali pamoja Wale wa Wilaya na Mkoa.
Kampeni hizi za Uchaguzi mdogo zinafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo Marehemu William Tate Ole Nasha aliyefariki kwa shinikizo la damu.
Upinzani mkali ni kati ya Chama Cha Mapinduzi CCM na Chama cha Alliance for Change & Transparency ACT-Wazalendo hii ni baada ya CHADEMA kutia mpira kwapani ikiwa ni katika kukwepa aibu ya kushindwa Uchaguzi baada ya Chama hicho kukumbwa na mdororo wa kisiasa hasa baada ya kujihusisha na Ugaidi.
Kampeni hizo zitazinduliwa na Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi "Simba wa Vita " Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Viongozi mbalimbali pamoja Wale wa Wilaya na Mkoa.
Kampeni hizi za Uchaguzi mdogo zinafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo Marehemu William Tate Ole Nasha aliyefariki kwa shinikizo la damu.
Upinzani mkali ni kati ya Chama Cha Mapinduzi CCM na Chama cha Alliance for Change & Transparency ACT-Wazalendo hii ni baada ya CHADEMA kutia mpira kwapani ikiwa ni katika kukwepa aibu ya kushindwa Uchaguzi baada ya Chama hicho kukumbwa na mdororo wa kisiasa hasa baada ya kujihusisha na Ugaidi.