Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,476
- 608
Shaka ni mtu na nusu, Kazi indeleeKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Hongera sana CCM,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
kazi iendeleeKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Huyajui maigizo yao mkuu, hivi unahisi kati ya shaka na PM nani mkubwa ki madaraka nchi hii? sasa huyo PM alikuta kibanda cha mlinzi wa Tanesco kimejengwa kwa mamilioni ya pesa na hakuna aliyefanywa chochoteShaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake
Wewe ni Taga acha uongoShaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake
Siku hizi Nyerere mmegeuza Ni Babu yenu naona.Shaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake
Mnakataa wanachama wenu hahahaWewe ni Taga acha uongo
Ndio ukweli wenyeweSiku hizi Nyerere mmegeuza Ni Babu yenu naona.
Mnawakataa wanachama wenu?Wewe ni Taga acha uongo
Kazi kaziKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Shaka Mcha mungu wa wapi? lambda mcha ccm tufunike kombe mwanaharamu apite wazanzibari wanamjuwa shaka alivyo.Wewe ni muongo, Shaka nimchamungu sana, acha kutafuta laana ndg
Huna lolote.....!Shaka Hamdu Shaka
Mimi ni CHADEMA ila nimekuwa nafuatilia kazi zake naona anakitu ndani yake
Nimtu anasimama na wananchi wakati wote kama Mwl Nyerere alivyokuwa
Nataka hao wanaotafuna kodi zetu wakamatwe na sheria ifanye yake
Huyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Huyu Shaka anatuchosha sasa, ajifunze kukaa kimya dio kila siku anapayuka, akitaka kuwachukulia hatua hao ccm wenzake mafisadi afanye kimyakimya sio kubweka kama mbwa koko aliyepotea kwaoKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ameitaka Serikali Wilayani ya Bukoba kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wataalamu na wakandarasi waliohusika kuisababishia hasara Serikali ya milioni 590 kwa kutekeleza mradi wa maji wa Katale uliopo tarafa ya Bugabo.
Akiwa katika Ziara ya Sekretarieti ya CCM-Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo amesema mradi huo wa Katale uliopo halmashauri ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ulitekelezwa chini ya kampuni ya ujenzi ya STC ambao hata hivyo hautoi maji miaka miwili tangu kukamilika kwake na kukabidhiwa.
Mkuu, mbona unamtetea sana? Au kuna kitu unafaidika kutoka kwake?Mkuu wewe unatatizo la uelewa tu
Shaka ni zaidi ya mkuu wa mkoa au Waziri
Kazi iendeleeYaani Abood atoe 200ml ili apitishwe chamani..!??
Wewe Unamjua Abood au unamsikia juu juu tu!??
Kwa kipindi cha miaka 15 mfululizo hakuna mpinzani aliyesimama dhidi ya Abood akaambulia hata robo ya kura tu kuanzia chamani kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu ubunge..!!
Tupunguze wivu...π πHuyu mbwiga yeye karudisha zile milioni 200 za Abood alizochukua wakati wa kupitisha jina lake pale Morogoro
Hakika kweliTupunguze wivu...π π