Shahidi wa leo Askari namba H4323

Shahidi wa leo Askari namba H4323

Wakati kesi inaanza kabla ya yeye kupanda kizimbani Profesa Jay alimuona shahidi yuki bize akifanya homuweki, Profesa Jay ikabidi amtonye Kibatala kuwa mjamaa ana dayari na yuko anamalizia tusheni, naye akasema nitampandia hukohuko kizimbani baada ya kiapo ili mmiliki wa shule, hedimasta Sirro na walimu wake wajue.
Mzee wa Mitulinga kaupiga mwingi kwa kutoa pasi ya maana kwa Kibatala .
 
Wameanza kuaibika yaaani upande wa silikali wameamza kupoteza mwelekeo mpaka wafikishe mashahidi 15 itakuwa kazi kwelikweli
Kama kutakuwa na shahidi walio mtoa mitaani usishangae akawa ashatimuka kitambo
 
Mboe ana dhambi kubwa sana Mbele ya Mungu na kwa watanzania wote.

1. miaka yote ya uenyekiti wake alikuwa akiwatengeneza vijana watukutu wenye tabia za kihalifu, kama vile; ujambazi, uzaji madawa, matusi, ukorofi wa kuto kutii sheria, kuto kuheshimu mamlaka n.k.

angalia alivyo wapotezea maisha kina Lingwenya, mohamedi, Halfani, Adam....huyo mdio mboe na mipango yake miovu.
kama isinge kuwa njama ovu za mboe leo hii hawa jamaa wasingekuwa wanateseka mahabusu mpaka leo....ila yote hayo ni tabia za kihalifu za mboe.

Pia ukiwachunguza baadhi ya wafuasi wa mboe utagundua kuwa hawana kabisa chembe ya uzalendo kwa nchi yao na hili ni kutokana na jinsi Mboe alivyo watengeneza kwa kuwapandikizia tabia za kihalifu kwa nchi yao.
hii ni dhambi kubwa aliyo ifanya mwenyekiti mboe kwa wafuasi wake.

nawashauri wafuasi wa mboe mboe wabadilike.
Tanzania ni nchi yetu sote na itaendelea kuwepo hata kama mboe hayupo hivyo ni lazima tuipende na kuilindi nchi yetu.
Kwahiyo

1:Sabaya alitengenezwa na Mbowe?

2:Hamza alitengenezwa na Mbowe?
 
Ni kweli kabisa mbowe kategeneza vijana watukutu nikuongezee kwenye list
Zito
Joshua nasari
Kafulila
Halima mdee
Ester matiko
Profesa mkumbo
Nk, nk
sasa jiulize hao ulio wataja leo hii wapo na huyo mboe au wamemkimbia?!

jiulize kwa nini Dr. Slaaa alimkimbia mboe?
Dr. Slaa alijitoa kwa kwa hali na familia yake kukijenga chama hadi mke wake alimwaga damu kwa ajili ya CDM ambapo hata mke wa mboe tu hajawahi hata kupanda jukwaani.
sasa jiulize kwa nini Slaa alimkimbia mboe?
wote hao wamekimbia matendo ya kihalifu ya mboe na genge lake.
tumia akili yako kufikiria acha kufuata mkumbo.
mboe ni mhalifu aliye kitumia chama cha kisiasa ili kuficha uovu wake, ila sasa kadakwa.
 
Yaani mawakili wana mbwembwe wamempoteza dira shahidi sijui kama alielewa tena, baada ya ku nyanganywa kalamu yake na dairy pamoja na simu,: jamani haya yalimanisha nini, tuelezeeni haya maneno kwa upaana.

Shahidi sio competent and letter lacked competence, with no pre-liquisting tendering,
The document was not authenticate lacked unique features that is a mojor criteria of authotification, the letter had no factual expedition it was legal but not ego. Maamuzi yalikua critism and not permissive, huyu kibatali atafanya mashahidi kugoma kurudi akiendelea na hizo law jargons zake,
You are absolutely right. That's why they refer to themselves as learned colleagues.
 
Sasa mkuu kwako kipi hapo kimefanikishwa? Kupata ushahidi bila shaka uko wapi hapo so far "water tighty evidance" ni zero
  1. Mashahidi wamesimama kizibani na kutoa ushahidi-testimonial evidence
  2. bunduki iliyopangwa kutumika imepokelewa- physical evidence
  3. kutumwa kwa hela toa simu inayomilikiwa na Mbowe kwenda kwa timu yake- demonstrative evidence

sasa upande wa utetezi umekumbuka shuka wakati damage kubwa imeshafanywa
magoli ya kufutia machozi
ngoja tuone
 
Back
Top Bottom