Andiko lako ni kipuuzi Sana na linakudhalilisha mwenyewe! Namshangaa Pascal Kwa kukuunga mkono naye niseme kajidhalilisha pia!
Mbowe na siyo Mboe la useme Kama unamsema mtu mwingine tofauti!
Kama unamaanisha Mbowe basi umemkosea adabu mno kwani kiuhalisia kawatengeneza vijana wengi wazuri kiutendaji ambao wengi wao ccm imewachukua na kuwapa ajira. Kama wangekuwa na sifa ulizozitaja wasingeajiriwa na ccm na kuwapa vyeo vikubwa Kama mawaziri na maded na madas. Huo ni ushahidi na SoMo tosha kuwa huko ccm mmejaa mazuzu TU Hadi cdm inawaazima watendaji! Ilibidi uwaambie hao ccm madebe shinda waanze kujitengeneza kiuongozi na sio kuishabikia Kila ngumi mnayopigwa na cdm!
Itafute orodha ya vijana viongozi ambao ni zao la Mbowe chini ya cdm waliopo kwenye serikali ya ccm angalau ujiridhishe na Kisha ujisahihishe!
Mbowe ni chimbuko la viongozi Bora kuwahi kutokea baada ya ccm kufunga vyuo vyake vya uongozi hasa kivukoni!
Rejea nzuri ni Kitila, Katambi, Zitto,ngedere na yule chapombe mura!
Hao wote ulio wataja na wengine wengi ni watu walio kuwa wanajielewa hata kabla ya kujiunga CDM, walikuwa na uwezo wa kutafakari na kuhoji.
Mara walipo baini kuwa mboe na genge lake wana mipango haramu/miovu dhidi ya Serikali walimkimbia na wengine walijitenga naye kabisaa. wamebaki watukutu.
Utukutu, Ununda na ukatili wa kila aina ndio ilikuwa sifa kuu ya kuwa mfuasi wa karibu wa mboe.
Nasema hivi;
mboe alifanikiwa kupandikiza tabia za kihalifu/uovu/utukutu/ujambazi/uuzaji dawa za kulevya/kwa wafuasi wake, aliwaaminisha hao wafuasi wake kuwa ukiwa mkorofi na mtukutu ndio ujasiri wa kuitisha Serikali.
ndio maana leo hii wafuasi wa mboe utakuta kazi yao kubwa ni;
1.kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi mbalimbali wa Serikali.
2. Kufurahia na kukejeli inapo tokea kifo/vifo vya viongozi wa Serikali na wakati mwengine huombea viongozi wa Serikali wakumbwe na vifo.
3. Kuvunja Sheria kwa maksudi, na kufanya ukaidi kwa Askari Polisi na Mamlaka mbali mbali.
4. kuzua taharuki ktk jamii kwa lengo la kuvuruga amani ya nchi.
5. Kuombea mabalaa na majanga yaikumbe nchi na pindi majanga yanapo ikumba nchi basi wafuasi wa mboe huwa mstari wa mbele kukejeli na kudhihaki
Mambo ni mengi sana ambayo yote hayo mboe kayapandikiza kwa wafuasi wake wengi.
ndio maana nasema huenda CDM ikabadilika na kikawa chama kizuri endapo tu Mwenyekiti atabadilika asiwe mboe hafai kabisaa.