GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,049
Mchambuzi Mnafiki Tanzania nzima Shaffih Dauda.....
"Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo."
Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya.
Najua leo umejitolea kumtetea Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC) ili kesho ukampige mzinga na pia asiwe anakunyima tenda za kuuza jezi na merchandises za Yanga SC katika maduka yako.
Kumbe ndiyo maana hata mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara hakupendi kwakuwa wewe ni mnafiki na huwa unapenda mno kuwapiga mizinga ya hela wakubwa wa Simba na Yanga ili uishi hapa mjini. Hopeless kabisa!
Watangazaji Prisca Kishamba na Yahya Njenge.....
"Hersi hana kosa kwani mihogo ni chakula kinacholiwa kila siku na watu wa maisha yote tu."
Prisca Kishamba najua kuwa nawe katika walioomba ajira ya Usemaji wa Yanga SC ulikuwemo ila huyu huyu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said unayejipendekeza kwake leo kwa kumtetea na kauli yake ya kuwaita wana Yanga SC ni wala mihogo alikutosa na kumpa Ally Kamwe.
Tunajua nawe hivi sasa unajipendekeza Kwake na Yanga SC Ili uwe unapewa kazi za Yanga SC na hata kuwa sehemu ya MC's wa Yanga SC katika matamasha yao (hafla zao).
Prisca Kishamba yule aliyeokolewa na kubadilishwa kimaisha na marehemu Boss Ruge (Marketing, Promotion, Creative and Entertainment Guru) baada ya kukuona ukiteseka na kutaabika na maisha yako magumu (yenye kutia huruma) siyo huyu wa leo.
Sitaki niseme mengi juu yako kwani nakujua ndani nje mpaka na ya ziada ila ngoja nichague tu kukutunzia siri zako zaidi. Badilika upesi na acha unafiki.
Yahya Njenge wewe ndiyo kabisa hata sitaki kupoteza muda nawe kwani dhambi ya ushamba (umbwiga) inakusumbua sana ndiyo maana hata akili zako zimekaa kiuvuvi uvuvi tupu kazi ambayo ndiyo unaiweza na ndiyo maana hata akili zako sometimes zimekaa kama samaki, yaani hujulikani uko nchi kavu au majini (upo upo tu).
Unaboa ile mbaya.
Mchambuzi mwerevu (intelligent) katika Wachambuzi wote wa michezo Clouds FM na Clouds Tv Edgar Kibwana....
"Acheni kumtetea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na kulirahisisha hili jambo. Ukweli ni kwamba yeye kama kiongozi wa taasisi kubwa kama ya Yanga SC amewakosea mno kwa kuwaita wala mihogo na anapaswa kuwaomba radhi wana Yanga SC na hata wanamichezo wote. Na atambue ya kuwa hii mihogo anayoidharau wengine ndiyo imewakuza, na mpaka kuwasomesha vyuo vikuu na leo ni watu wakubwa mno nchini."
Edgar Kibwana Mimi GENTAMYCINE sina Deni nawe na tayari kwa Kukataa Kwako kuwa Mnafiki na Mtu wa Kujipendekeza na kuendekeza Njaa kama Boss wako Shaffih Dauda na Watangazaji akina Prisca na Yahya tayari una Pepo yako Mbinguni umeshaandaliwa.
Mwisho kabisa Shaffih Dauda acha Kudanganya ( Kuhadaa ) Watu kwa kusema kuwa katika ile Video Clip ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kusema ni Wala Mihogo alikuwa anatania na kucheka.
Wote tumeiona hiyo video clip na ukweli ni kwamba yapo maeneo aliyocheka kidogo ila alipofika katika suala la Yanga SC na mashabiki (wanachama) wake alikuwa amechukia (mkali kama mbogo), huku hata body language yake ikikuonyesha pamoja na uso wake. Sasa iweje leo mnafiki na muongo mmoja wewe utudanganye akina GENTAMYCINE tuliokuzidi akili, maarifa na jicho la kiutambuzi na kiuchambuzi katika masuala mtambuka?
Cc: Slim5, Mshuza2, Bujibuji Simba Nyamaume, SAGAI GALGANO, Daudi Mchambuzi etc
"Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo."
Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya.
Najua leo umejitolea kumtetea Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC) ili kesho ukampige mzinga na pia asiwe anakunyima tenda za kuuza jezi na merchandises za Yanga SC katika maduka yako.
Kumbe ndiyo maana hata mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara hakupendi kwakuwa wewe ni mnafiki na huwa unapenda mno kuwapiga mizinga ya hela wakubwa wa Simba na Yanga ili uishi hapa mjini. Hopeless kabisa!
Watangazaji Prisca Kishamba na Yahya Njenge.....
"Hersi hana kosa kwani mihogo ni chakula kinacholiwa kila siku na watu wa maisha yote tu."
Prisca Kishamba najua kuwa nawe katika walioomba ajira ya Usemaji wa Yanga SC ulikuwemo ila huyu huyu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said unayejipendekeza kwake leo kwa kumtetea na kauli yake ya kuwaita wana Yanga SC ni wala mihogo alikutosa na kumpa Ally Kamwe.
Tunajua nawe hivi sasa unajipendekeza Kwake na Yanga SC Ili uwe unapewa kazi za Yanga SC na hata kuwa sehemu ya MC's wa Yanga SC katika matamasha yao (hafla zao).
Prisca Kishamba yule aliyeokolewa na kubadilishwa kimaisha na marehemu Boss Ruge (Marketing, Promotion, Creative and Entertainment Guru) baada ya kukuona ukiteseka na kutaabika na maisha yako magumu (yenye kutia huruma) siyo huyu wa leo.
Sitaki niseme mengi juu yako kwani nakujua ndani nje mpaka na ya ziada ila ngoja nichague tu kukutunzia siri zako zaidi. Badilika upesi na acha unafiki.
Yahya Njenge wewe ndiyo kabisa hata sitaki kupoteza muda nawe kwani dhambi ya ushamba (umbwiga) inakusumbua sana ndiyo maana hata akili zako zimekaa kiuvuvi uvuvi tupu kazi ambayo ndiyo unaiweza na ndiyo maana hata akili zako sometimes zimekaa kama samaki, yaani hujulikani uko nchi kavu au majini (upo upo tu).
Unaboa ile mbaya.
Mchambuzi mwerevu (intelligent) katika Wachambuzi wote wa michezo Clouds FM na Clouds Tv Edgar Kibwana....
"Acheni kumtetea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na kulirahisisha hili jambo. Ukweli ni kwamba yeye kama kiongozi wa taasisi kubwa kama ya Yanga SC amewakosea mno kwa kuwaita wala mihogo na anapaswa kuwaomba radhi wana Yanga SC na hata wanamichezo wote. Na atambue ya kuwa hii mihogo anayoidharau wengine ndiyo imewakuza, na mpaka kuwasomesha vyuo vikuu na leo ni watu wakubwa mno nchini."
Edgar Kibwana Mimi GENTAMYCINE sina Deni nawe na tayari kwa Kukataa Kwako kuwa Mnafiki na Mtu wa Kujipendekeza na kuendekeza Njaa kama Boss wako Shaffih Dauda na Watangazaji akina Prisca na Yahya tayari una Pepo yako Mbinguni umeshaandaliwa.
Mwisho kabisa Shaffih Dauda acha Kudanganya ( Kuhadaa ) Watu kwa kusema kuwa katika ile Video Clip ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kusema ni Wala Mihogo alikuwa anatania na kucheka.
Wote tumeiona hiyo video clip na ukweli ni kwamba yapo maeneo aliyocheka kidogo ila alipofika katika suala la Yanga SC na mashabiki (wanachama) wake alikuwa amechukia (mkali kama mbogo), huku hata body language yake ikikuonyesha pamoja na uso wake. Sasa iweje leo mnafiki na muongo mmoja wewe utudanganye akina GENTAMYCINE tuliokuzidi akili, maarifa na jicho la kiutambuzi na kiuchambuzi katika masuala mtambuka?
Cc: Slim5, Mshuza2, Bujibuji Simba Nyamaume, SAGAI GALGANO, Daudi Mchambuzi etc